Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Ijumaa

Nimetoka kabanga/ngara, nikiwa na tani 30 za maharage

Nimepanda k9 usiku wa saa 7 hadi benaco salama salimini, nikashuka mizani nyakatura, nikaenda kupumzika nyakanazi

Mapema tu nikalianzisha na P 360 kidot, kupitia mbogwe, runzewe hadi kahama, mzigo ukawa umecheza nikapanga upya

Toka kahama tinde, nzega, igunga singida nikalala manyoni Emirates pale..

Alfajiri nikalianzisha shusha salanda salanda bahi na dom kagua mzigo, gari shwari

Barabara ni safi kabisa hakuna utekaji wizi wala usumbufu

Shida ikaanzia kibamba hapo, vijana wakadandia wakachana turubai bahati nikaona, nikasimama nikaomba ulinzi shirikishi hapo hadi sokota, nikawalipa

Saa namalizia kushusha mzigo wa watu hapa temeke

Pole na safari
 
My Favorite roads 2021 kama unapenda kunyoosha goti!
1. Manyoni - Tabora (Via Itigi hatari sana but usipate breakdown hakunaga msaada ile njia[emoji1787]
2. Arusha-Longido
3. Arusha - Manyara, na Kondoa- Dom
4. Biharamulo - Muleba
5. Makambako - Igawa (sema mchana kuna tochi kali sana)

My Best Sceneries

1. Moro - Iringa
2. Mbeya - Kyela (Nature ya hapa ni balaa)
3. Arusha-Namanga (Landscapes, vilima, wanyama)
4. Muleba - Chato (driving along Lake Victoria)
5. Himo-Marangu, Kilema, Rombo (hizi njia ukipata muda pita tu hata bila sababu kunavutia sana sana)
6. Mombo- Lushoto
7. Mbeya- Chunya
8. Mara-Serengeti- Ngorongoro Arusha Kama una gari ya juu don’t miss this

Zingine muongezee wazee
Manyoni to Tabora Via Itigi
Dodoma to Babati via Kondoa
Hizo njia ni nzuri sana
 
IMG_1520.jpg

Mnyama crown athlete. Speed 120 but check rpm… mwendo ni kutumia cruise ctrl tu
 
Back
Top Bottom