ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Dom mjini kuna watumishi hewa 😀😀Makini Dom mjini...😎
Gairo jana ilikuwa sana, kule njugwa ndio ilikuwa shidaaa yaani..ukungu unaenda kwa manyatoUsiku mnene kipande kati ya Gairo na Dumila kuna ukungu wa kutisha. Ukiwasha full ndio huoni kabisa ukiwa na low beam unaona mita 20 tu mbele. Ukipishana na mtu inabidi uzime taa kwa muda utumie taa zake kuona.
Yani kwa kifupi kwenye ule ukungu inabidi upunguze taa kadiri uwezavyo. Ni balaa.
Huoni kingo za barabara. Inabidi utumie ile centerline kujiweka barabarani.
Ni balaa aseee. Utahisi uko kwenye ndege mawinguni maana hata lami huioni.Gairo jana ilikuwa sana, kule njugwa ndio ilikuwa shidaaa yaani..ukungu unaenda kwa manyato
Hasa pale chako ni chako[emoji28][emoji28][emoji23]Dom mjini kuna watumishi hewa [emoji3][emoji3]
Hatare sana pole ndg!Usiku mnene kipande kati ya Gairo na Dumila kuna ukungu wa kutisha. Ukiwasha full ndio huoni kabisa ukiwa na low beam unaona mita 20 tu mbele. Ukipishana na mtu inabidi uzime taa kwa muda utumie taa zake kuona.
Yani kwa kifupi kwenye ule ukungu inabidi upunguze taa kadiri uwezavyo. Ni balaa.
Huoni kingo za barabara. Inabidi utumie ile centerline kujiweka barabarani.
Na kufika kwangu kote dom. Hapo sijawahi kufikaHasa pale chako ni chako[emoji28][emoji28][emoji23]
Kipande cha Magubike na Tabu HotelUsiku mnene kipande kati ya Gairo na Dumila kuna ukungu wa kutisha. Ukiwasha full ndio huoni kabisa ukiwa na low beam unaona mita 20 tu mbele. Ukipishana na mtu inabidi uzime taa kwa muda utumie taa zake kuona.
Yani kwa kifupi kwenye ule ukungu inabidi upunguze taa kadiri uwezavyo. Ni balaa.
Huoni kingo za barabara. Inabidi utumie ile centerline kujiweka barabarani.
Chako ni chako ndio Mwanga BarHasa pale chako ni chako[emoji28][emoji28][emoji23]
Hatari sana.Kipande cha Magubike na Tabu Hotel
Nadhani ile milima iliyo pembezoni
Ni sehemu mbili tofauti,chako ni chako ni karibu na kile keepleft cha uwanja wa ndegeChako ni chako ndio Mwanga Bar
Ama ni sehemu mbili tofauti?
Ni sehemu mbili tofauti mkuu mwanga bar iko majengo mji mpya na chako ni chako ni kule airport!Chako ni chako ndio Mwanga Bar
Ama ni sehemu mbili tofauti?
Chombo ninacho operate hakiruhusiwi kupaki mjini, hapo hapo una king'amuziNi sehemu mbili tofauti mkuu mwanga bar iko majengo mji mpya na chako ni chako ni kule airport!
Kweli mkuu sijui umetumia gari gani ila mfano kama LC V8 zina uwezo wa kutumia 4hrs tu from Dar to Dom ndiyo maana hata viongozi wakubwa wanaoendeshwa kwa hizi gari wana uwezo wa kuja Dar kila ijumaa jioni kuspend weekend nzima na kurudi Dom kila jumatatu asubuhi kuendelea na kazi! Wenyewe wanakuambia Dom hakujachangamka hivyo hapafai kula bata ndiyo maana wanatamani kurudi Dar!Asante wakuu. Nimetoka Dom saa 6 usiku, saa 11 kasorobo niko mjini. Dodoma sio mbali, basi tu.
Wanachotushinda hao ni kupita zone za 50kph na speed zaidi ya 100kph na kuovateki popote pale. Vinginevyo tungeenda nao Sawa tu.Kweli mkuu sijui umetumia gari gani ila mfano kama LC V8 zina uwezo wa kutumia 4hrs tu from Dar to Dom ndiyo maana hata viongozi wakubwa wanaoendeshwa kwa hizi gari wana uwezo wa kuja Dar kila ijumaa jioni kuspend weekend nzima na kurudi Dom kila jumatatu asubuhi kuendelea na kazi! Wenyewe wanakuambia Dom hakujachangamka hivyo hapafai kula bata ndiyo maana wanatamani kurudi Dar!
Kuna siku Mwendazake alikuwa Mbeya na msafara wake imagine from Tukuyu to Mbeya mjini kwa gari za kawaida ni mwendo wa karibu lisaa na nusu lakini LC V8 za msafara wa Rais zilitumia nusu saa tu from Tukuyu to Mbeya! Yaani Mbeya mjini gari zote ambazo zilikuwa kwenye barabara ambayo msafara wa Rais ulitakiwa upite zilisimamishwa Mwendazake akiwa Tukuyu na baada ya nusu saa msafara ukawa umeshateremka Mbeya mjini!
Kwa sie SUV enthusiasts tunaona hapa kweli mjapan alitulia! Ndiyo maana binafsi kwa SUVs za mjep nazielewaga sana LC VXR V8 na NP Y62 V8 hizi gari huwa naziheshimu sana ni moto wa kuotea mbali!
Wewe mkali [emoji3]Kweli mkuu sijui umetumia gari gani ila mfano kama LC V8 zina uwezo wa kutumia 4hrs tu from Dar to Dom ndiyo maana hata viongozi wakubwa wanaoendeshwa kwa hizi gari wana uwezo wa kuja Dar kila ijumaa jioni kuspend weekend nzima na kurudi Dom kila jumatatu asubuhi kuendelea na kazi! Wenyewe wanakuambia Dom hakujachangamka hivyo hapafai kula bata ndiyo maana wanatamani kurudi Dar!
Kuna siku Mwendazake alikuwa Mbeya na msafara wake imagine from Tukuyu to Mbeya mjini kwa gari za kawaida ni mwendo wa karibu lisaa na nusu lakini LC V8 za msafara wa Rais zilitumia nusu saa tu from Tukuyu to Mbeya! Yaani Mbeya mjini gari zote ambazo zilikuwa kwenye barabara ambayo msafara wa Rais ulitakiwa upite zilisimamishwa Mwendazake akiwa Tukuyu na baada ya nusu saa msafara ukawa umeshateremka Mbeya mjini!
Kwa sie SUV enthusiasts tunaona hapa kweli mjapan alitulia! Ndiyo maana binafsi kwa SUVs za mjep nazielewaga sana LC VXR V8 na NP Y62 V8 hizi gari huwa naziheshimu sana ni moto wa kuotea mbali!
Hii timu Karma miss pablo Kasie Saint Anne road trip yetu iko jikoniWewe mkali [emoji3]
Unatembea na kupita mulemule kuzichambua na kuzielezea
Upo industry hii kitambo bhas
Hiyo huitaji hata kuwa nyoosha mkuu.. 😀😀🙂🙂 labda kama una wahi na michakato yako mingineHio Y62 V8 achana nayo. Best friend wangu anayo huwa tukipiga trip huwa ananikabidhi niwanyooshe 😂😂😂