ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Usiku mnene kipande kati ya Gairo na Dumila kuna ukungu wa kutisha. Ukiwasha full ndio huoni kabisa ukiwa na low beam unaona mita 20 tu mbele. Ukipishana na mtu inabidi uzime taa kwa muda utumie taa zake kuona.
Yani kwa kifupi kwenye ule ukungu inabidi upunguze taa kadiri uwezavyo. Ni balaa.
Huoni kingo za barabara. Inabidi utumie ile centerline kujiweka barabarani.
Yani kwa kifupi kwenye ule ukungu inabidi upunguze taa kadiri uwezavyo. Ni balaa.
Huoni kingo za barabara. Inabidi utumie ile centerline kujiweka barabarani.