Wazee wa β€˜Road Trip’ mpo?

Chombo ninacho operate hakiruhusiwi kupaki mjini, hapo hapo una king'amuzi

Hata ukipata breakdown tarura wanakufanya mradi

Kujua mitaa ya miji ni ngumu kidogo, ukiacha hiyo bambalaga iliyopo highway

Dodoma siifahamu,kivile
Dom sehemu ya bata nayo jua na kuingia huwa ni Bambalaga na Royal .. kidogo na mndani kula manyama manyama choma
 
Acha na mzuka wa V8 power....wapo wasiojitambua inabidi uwape reminder
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ unawakumbusha kwamba hii sio size yenu.. one day na mie nitachukua chombo kisichogusika kimchezo mchezo.. ukiwa na chombo ya HP kuanzia 455 + barabarani unatembea bila wasi wasi wa kudhalilishwa
 
LC V8 kubwa, nilishatumia Subaru Xsport, dar dodoma masaa manne, usiku.. nahisi nikiwa na Nissan Y62 sijui acha nikae kimya πŸ™ƒπŸ™ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…