Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Uko vizuri mkuu. Natumia Nissan Fuga 350XV.

3.5L V6

Hao mabig bro nakula nao sahani moja mwanzo mpaka mwisho wa safari. Watanizidi kwa kufukia matuta tu. Au kama wakitembea zaidi ya 180 kwa muda mrefu, maana I am limited to 180kmph nikiwa 4000rpm
Oohh kwa sedan za Nissan hizo Fuga ndiyo naona ziko vizuri. Ni kama ninavyoziona Crown Majesta kwa sedan za Toyota.
 
Alikutumia kama pace maker, hakuwa na haraka. Kampani inasaidia sana sometimes.
 
Yeah hilo vibe muhimu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…