Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila safari za ndani, mtu anapost akiwa chiu.. hicho kigezo kikubwa ili tuamini upo kwenye trip ya ndani.. na sio trip ya nje
😎
Wese nahisi watakuwa wananunua maana sina hakika mkuu, nitauliza then nitakupa majibuWese unawekewa,
Ila halijawekwa tu bure,limenunuliwa.
Na unawekewa wese kwa shughuli fulani au kwa ajili ya kusafiri tu kama hobby?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano upo nimeshakutolea ila wewe umeamua tu kubisha[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mimi nimegundua na wewe umeamua tu kusema Kuna hao watu na wakati hawapo ili niishie hapo.
Hatutafuti mshindi kwani hatupo kushindana bali kila mtu anatoa mawazo na mtazamo wake juu ya kusafiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
yaaah, kama sio za chiu hatuzitaki.. 🙂🙂
Inabidi akasome historia.. ndio ataelewa safari za miguu zipo nyingi, mfumo wa maisha ya sasa ndio unataka kutuaminisha kuwa bila gari au pesa huwezi safariMfano upo nimeshakutolea ila wewe umeamua tu kubisha
Pale uliposema yule jamaa aliyesafiri kutoka Mbeya to Dar kwa miguu alikuwa anatafuta sifa tu niliona nikuache hivyo hivyo ila sasa naona unataka nikurudishe tena kule kule
Ni binadamu gani anayeweza kurisk maisha yake kusafiri umbali wa karibu KM 1000 kwa miguu kwa takriban wiki mbili ilihali anajua hakuna chochote anacholipwa eti ili tu kutafuta sifa
Nisaidie kumshangaa huyo ndugu yako anayetudanganya eti mtu hata ukijichanga kwa miezi kadhaa baada ya kujibanabana ukapata ka laki kako ukasema utoke Dar hadi Tanga tu hapo kuosha macho basi tayari wewe ni tajiriSafari ni furaha iliyo moyoni, haipimwi na mambo ya pesa. Kuna ile inner peace huja unapokuwa kwenye mazingira fulani au kuyaona.. na unakuta utoi hata sent hayo mazingira, hasa kwa sie watu pori huko kuna maeneo hata ukiwa na hela haina kazi wala hakuna mahala pa kuitumia
Wewe unaona yupo timamu?Mfano upo nimeshakutolea ila wewe umeamua tu kubisha
Pale uliposema yule jamaa aliyesafiri kutoka Mbeya to Dar kwa miguu alikuwa anatafuta sifa tu niliona nikuache hivyo hivyo ila sasa naona unataka nikurudishe tena kule kule
Ni binadamu gani anayeweza kurisk maisha yake kusafiri umbali wa karibu KM 1000 kwa miguu kwa takriban wiki mbili ilihali anajua hakuna chochote anacholipwa eti ili tu kutafuta sifa
Tayari wewe ni tajiri,hako kalaki tano hadi umejichanga wewe siyo masikini.Nisaidie kumshangaa huyo ndugu yako anayetudanganya eti mtu hata ukijichanga kwa miezi kadhaa baada ya kujibanabana ukapata ka laki kako ukasema utoke Dar hadi Tanga tu hapo kuosha macho basi tayari wewe ni tajiri
Huenda ana definition yake ya utajiri.. Kwangu mtu kuwa tajiri simpimi kwa kiwango cha pesa.. ingawa pesa ni ishara ya utajiri ila sio utajiriNisaidie kumshangaa huyo ndugu yako anayetudanganya eti mtu hata ukijichanga kwa miezi kadhaa baada ya kujibanabana ukapata ka laki kako ukasema utoke Dar hadi Tanga tu hapo kuosha macho basi tayari wewe ni tajiri
Tunaishi wakati uliopo,hatuishi wakati uliopita.Inabidi akasome historia.. ndio ataelewa safari za miguu zipo nyingi, mfumo wa maisha ya sasa ndio unataka kutuaminisha kuwa bila gari au pesa huwezi safari
Hebu nionyeshe mfano wa namna zinavyotakiwa kuwa[emoji23][emoji23]yaaah, kama sio za chiu hatuzitaki.. 🙂🙂
Unaweza nitajia vilivyopo wakati huu ?
Naongelea utajiri na road trip.Huenda ana definition yake ya utajiri.. Kwangu mtu kuwa tajiri simpimi kwa kiwango cha pesa.. ingawa pesa ni ishara ya utajiri ila sio utajiri
Wakati ulipo Sasa ndio huu Sasa.Unaweza nitajia vilivyopo wakati huu ?
Kumbe road trip kuna matajiri.. ?
Hujajibu swali bado..
Huyo mwamba ofisi yake na kitaani dakika 5 tu 😂,jamaa wanaomzunguka pale wengi wao ni wana sema maisha ya ki jf tu ila inawezekana namjua na ananijua 😂Hamana usiogope, ndio bei ya hizo gari mkuu wangu, ila fanya kumcheki huyo jamaaa
Kwani wewe ni masikini?Kumbe road trip kuna matajiri.. ?
haaaa... hizi ni trip private sanaa, ila nazo trip. Hizi hatupost ovyo ovyoHebu nionyeshe mfano wa namna zinavyotakiwa kuwa[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umaskini nao una definition yake.. sijui definition yako kama ipo sawa na yangu