Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kuiona laki kubwa ni dalili ya umasikini sawa..
Vivyohivyo kuiona laki ndogo tayari ni dalili ya utajiri.

Kumbe wewe tayari si masikini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha suala la laki kuwa ndogo ni uchumi wa nchi ndiyo unadetermine na siyo mawazo ya mtu binafsi kwa uchumi wa sasa wa nchi yetu laki ni ndogo kwa mahitaji yote muhimu ya binadamu hata kama ingekuwa ni watu wote nchi nzima wanashindwa kuipata
 
Hahaha suala la laki kuwa ndogo ni uchumi wa nchi ndiyo unadetermine na siyo mawazo ya mtu binafsi kwa uchumi wa sasa wa nchi yetu laki ni ndogo kwa mahitaji yote muhimu ya binadamu hata kama ingekuwa ni watu wote nchi nzima wanashindwa kuipata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe tayari sisi si masikini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…