Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Here we go. 😉😉
IMG_20210413_085710.jpg

Mlima wa mawe, 🙂 🙂 huku mda kidogo mnafunikwa na wingu mda kidogo mvua mda kidogo ukungu.. gari mnapaki km zaidi ya 300.. mnaenda na punda au trekta

fanya booking .. maisha ndio haya haya..

Safe staying huko mlimani.
 
Kuiona laki kubwa ni dalili ya umasikini sawa..
Vivyohivyo kuiona laki ndogo tayari ni dalili ya utajiri.

Kumbe wewe tayari si masikini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha suala la laki kuwa ndogo ni uchumi wa nchi ndiyo unadetermine na siyo mawazo ya mtu binafsi kwa uchumi wa sasa wa nchi yetu laki ni ndogo kwa mahitaji yote muhimu ya binadamu hata kama ingekuwa ni watu wote nchi nzima wanashindwa kuipata
 
Hahaha suala la laki kuwa ndogo ni uchumi wa nchi ndiyo unadetermine na siyo mawazo ya mtu binafsi kwa uchumi wa sasa wa nchi yetu laki ni ndogo kwa mahitaji yote muhimu ya binadamu hata kama ingekuwa ni watu wote nchi nzima wanashindwa kuipata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe tayari sisi si masikini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom