Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Lakini kula ulikula,kulala ulilala na nguo ulivaa.Binadamu anatakiwa kula mara tatu kwa siku ila mie nilikuwa nakula mara moja tu
Kuhusu kulala nilikuwa naishi kwa shemeji na nguo ninazo chache ambazo ni kauka nikuvae
Sex siyo hitaji muhimu kwa binadamu mahitaji muhimu ni yale ambayo binadamu akiyakosa anakufa
Hahaaa huo ndiyo ukweli buddahacha kufananisha SEX na mambo ya ajabu ajabu weweeee... 😎
Mfumo wa maisha, una level.. ukikaa kwenye level utaona unatokea wapi unaelekea wapi.. ndoto yako inasema nini ndani yako.. uchumi pia una level .. ila tupamabne bado mda upo wa kufika katika ndoto zetuMkuu hapa tunaongelea tafsiri ya kiuchumi ya utajiri
Mungu tunatakiwa kumshukuru tu kwa kila jambo hata kama mtu hauna kitu wewe hapa duniani unapumua tu bado utatakiwa kushukuru
Lakini tunapoongelea utajiri wa kiuchumi tunaongelea beyond all that
Utatukuta tuna kusubiri yaani.. tule bataNa Mimi kwa Imani nitaenda tu kwa kupaa na upepo wa kisulisuli kama Elia[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya pesa watu unafikiri walikuwa wanakulaje bata au kusafiriNdio hawa wanatuponza eti tunaenda kwa Imani bila pesa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hilo hitaji la kulala nimeshakuambia nilikuwa sijitimizii mimi kama mimi nilikuwa namtegemea mtu na kula nilikuwa sitimizi kama inavyotakiwa maana binadamu anatakiwa ale milo mitatu kwa siku pungufu ya hapo unajua madhara yakeLakini kula ulikula,kulala ulilala na nguo ulivaa.
Tayari wewe siyo masikini[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo kitu ina heshima yake, sio ya kuilinganisha na hayo mambo basics, hiyo ni zaidi ya basics needs.. utasikia kesi za watu wameua kwa ajiri ya hiyo kitu, ila sio kukosa nguo au chakula ndio utajua ni zaidi ya basiki niidiHahaaa huo ndiyo ukweli buddah
Sema usipo vaa nguo unaonekana kama maskini au kichaa.. ila kusudi la Mungu toka mwanzo tutembee chiu wa nyama.. kuna raha yake ya kutembea uchi.. imebaki tuntembea uchi vyumbani tu..dahKuna watu wanapenda kuvaa na kuna watu wanavaa ili mradi tu kujisitiri
Ukiweza kununua nguo na ukabakiwa na hela ya kufanya maendeleo na kuweka akiba ndiyo wewe ni tajiri
Lakini kama ukinunua nguo basi unabaki ya hela ya kula tu wewe ni masikini
vyeti vinaharibugi sana mahesabuSahizi mkuu? Nikale vyeti? Bado niko mjini sina habari
Walifanya barter exchange.Kabla ya pesa watu unafikiri walikuwa wanakulaje bata au kusafiri
Nyie mmefika kwa imani au kwa kutumia wese?Utatukuta tuna kusubiri yaani.. tule bata
Kwani lazima kila ufanye cha sasa hivi kwakua nyakati zime change ?
kwa miguu
Ili mradi umekula na umelala bila kujali umekula vipi au umelala vipi,wewe tayari si masikini.Sasa hilo hitaji la kulala nimeshakuambia nilikuwa sijitimizii mimi kama mimi nilikuwa namtegemea mtu na kula nilikuwa sitimizi kama inavyotakiwa maana binadamu anatakiwa ale milo mitatu kwa siku pungufu ya hapo unajua madhara yake
Tuendelee na barter exchange?Kwani lazima kila ufanye cha sasa hivi kwakua nyakati zime change ?
Sawa [emoji23]kwa miguu
yapo mengi tu ya kufanya bata exchange.. ikifika mda wake wa kuona unataka kufanya, utajua upeleke nini na wewe upate niniTuendelee na barter exchange?
Niambie,kwa sasa naifanyaje? Na naifanyia wapi ili nisafiri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kulinganisha chakula na vitu vya ajabu.hiyo kitu ina heshima yake, sio ya kuilinganisha na hayo mambo basics, hiyo ni zaidi ya basics needs.. utasikia kesi za watu wameua kwa ajiri ya hiyo kitu, ila sio kukosa nguo au chakula ndio utajua ni zaidi ya basiki niidi
Hicho kitu cha kupeleka nakitoa wapi?yapo mengi tu ya kufanya bata exchange.. ikifika mda wake wa kuona unataka kufanya, utajua upeleke nini na wewe upate nini
Ohoooo... bata exchange zipo tu.. unaweza mfanyia mtu kitu A nae akakupa kitu B.. huwezi kosa cha kutoa mkuu