Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Huwezi ukaishi rohoni pekeyake duniani bila mwili.Huo mwili upo under contro ya nini.. utajua kipi bora
Roho inahitaji mwili ili kusurvive duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi ukaishi rohoni pekeyake duniani bila mwili.Huo mwili upo under contro ya nini.. utajua kipi bora
Ukiweka chakula na sex, nachagua sex anza. Njaa inamtembelea anae endekeza njaa aisee
Wewe umesema Mimi mdogo nikakuuliza. Nani amekwambia?Umejifunzia wapi ?
Haifahamu njaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaijua njaa lakini?
Tusijekuwa tunaongea na mtu asiyeijua njaa.
Mie na wewe nani mdogo ? 😎Wewe umesema Mimi mdogo nikakuuliza. Nani amekwambia?
Halafu hivi udogo unaishia miaka mingapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajaribu kuniambia nini Mimi mlokole nisiye na ndoa? Kwangu sex sio kitu muhimu, I can stay for long time without it.Kama SEX sio kitu muhimu, nyie mmetokea kwenye mchele eeh na maharage ? Asee nyie mnakosa itakuwa hamja experience na kujua hiyo ni zaidi ya chakula au kulala ndio maana watu wanapata hadi msongo wa mawazo na kujinyonga, SEX ipo connected na nafsi.. chakula kinaishi kwenye tumbo tu.. watu wanagongwa na magari kwa ajiri ya mambo yaliyo connected na sex, ila sio kwa kukosa chakula
Huijui SEX wewe, watu wanapiga hadi mapanga wazazi wao kwa ajiri ya hiyo kituUnaijua njaa lakini?
Tusijekuwa tunaongea na mtu asiyeijua njaa.
Ukweli utuweke huru. Kusafiri "for fun" kunahitaji pesa. Pesa inahitajika kwa ajili ya nauli au mafuta Kama gari private emergency njiani, kulala hotel, kula na kunywa n.k.Kama wewe tu ulivyoamua kufosi dunia ya sasa kuwa na hao watu wanaotembea kwa mguu kutoka iringa hadi Mbeya eti" for fun"
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooo.. mie sijatuma mtu aka sex au atamani sex.. nimesema SEX ni muhimu kuliko chakula.. ukiniwekea hapo sex na chakula nachagua sex.. Ukikaa mda mrefu sana patapotea 😎Unajaribu kuniambia nini Mimi mlokole nisiye na ndoa? Kwangu sex sio kitu muhimu, I can stay for long time without it.
Njaa sasa? Hapa penyewe natetemeka kwa njaa msosi bado haujafika 😂
Haijui huyu wakishua 😂Haifahamu njaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ile njaa ya kutokujitakia.
Halafu uzi wetu wa kilo 60 sijui umefutwa[emoji1745]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu acha kuhalalisha vitu ambavyo sio muhimu kwa binadamu.Ohooo.. mie sijatuma mtu aka sex au atamani sex.. nimesema SEX ni muhimu kuliko chakula.. ukiniwekea hapo sex na chakula nachagua sex.. Ukikaa mda mrefu sana patapotea 😎
Mie sipendi chakula by nature kwa amabe ameisha wahi niona au kukaa na mie automatic atajua tu, kwamba sipendi chakula .. kidogo humu Deeboyfrexh anaweza kujua.. chakua sipendi kabisa, zaidi natumiaga vitu moto moto kama kahawa .. endekezekni chakula tu mtapata coronaHaijui huyu wakishua 😂
Itakuwa maana hata zile notification hazipo tena. Mods kuna muda wanakuwa jau Sana. Sasa ule uzi una shida gani? Au wameushift? Ila wangeshift notification zingekuwepo.
ahaaa.. Kwanza ukiwa haujashiba ndio unapata performance yenyewe hapo.. ila umeshiba aah hakuna kitu hapoHebu acha kuhalalisha vitu ambavyo sio muhimu kwa binadamu.
Wewe ni wa tofauti sana. Sex over food uchague sex kweli? Utaperform vipi na njaa? We huijui njaa nina uhakika.
Utanyang'anywa apewe nani? 🤣🤣🤣 ila wewe🙂 🙂 🙂.. umeisha weka booking Julieth wangu .. hapo ni ku switch tu viwanja.. maisha haya usipo furahia kwa kidogo ulicho nacho basi unakuwa ni mtu usie na shukrani Bwana Mungu anaweza akakunyanganya akampa Bakharesa
Hujui msemo wa alie nacho huongezewa ? anaongezewa kutoka kwa wazio kuwa nacho au walio nacho kidogoUtanyang'anywa apewe nani? 🤣🤣🤣 ila wewe
Na'book, ikiwa tayari nitakujulisha.
Are you married? If yes uko sawa.Ndio maana SEX huitwa Tendo takatifu, ila hakuna chakula kitakatifu.. Mjiongeze nyie
Saint Anne Depal
Haha kuna sehemu pesa mbele kama fundo la tai ya Holy ManNdio hawa wanatuponza eti tunaenda kwa Imani bila pesa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie na wewe nani mdogo ? 😎
Mambo ya wizara ya ndani hayo.Are you married? If yes uko sawa.
Lakini isiwe ya sogea tuishi. Ile ambayo inatambulika duniani na mbinguni... Lakini bado mtakula tu, njaa itawakomesha maana nyie hamko kwenye kundi la ndege wa angani.