Mweeh!! Mie na trouble wapi na wapi.Trouble upo? Yule mtoto wako pasua kichwa yupo?
Vizuri sana. Ongeza maarifa.
Kuanzia tar 20 napandisha arusha. Nipo na CUE.
Najua sitakosa watu wa kupeana changamoto huko njiani.
Uzuri ntakuwa peke angu. Woga wa kuwa na familia hautakuwepo.
Wasindikizaji muhimu sanaMweeh!! Mie na trouble wapi na wapi[emoji2369][emoji2369]
Yupo kajaa tele, kaolewa na mchungaji wako huko duniani wanasambaza injili.
Sasa hiyo trip yenu hamuhitaji wa kuwasindikiza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Salute!Road Trip zangu ni kama ifuatavyo.
DAR - Arusha-Nairobi - Kampala.
Nikirudi naenda kupumzika ufukweni kidogo then napiga moja ya
Dar- Mwanza - Serengeti.
Mwanza - Manyara - Dar
Dar- Lindi.
Hiyo itakuwa February.
Montana nambadilishia stabiler link.
View attachment 1650715
Road Trip zangu ni kama ifuatavyo.
DAR - Arusha-Nairobi - Kampala.
Nikirudi naenda kupumzika ufukweni kidogo then napiga moja ya
Dar- Mwanza - Serengeti.
Mwanza - Manyara - Dar
Dar- Lindi.
Hiyo itakuwa February.
Montana nambadilishia stabiler link.
View attachment 1650715
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii sio DVA dada. Wengine hatuendeshi nambaNimezoom weeeh nimekodoa macho na magnifier hadi nimeona namba ya gari kwenye kioo [emoji12][emoji12]
Okay soonnasubiri E nivute kitu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii sio DVA dada. Wengine hatuondeshi namba
DVA ni nini?
Registration identity za MagariDVA ni nini?
Ukiwa na maana ya plate number mkuu!...Registration identity za Magari