Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Asante mkuu una mawazo kama yangu .Ukweli utuweke huru. Kusafiri "for fun" kunahitaji pesa. Pesa inahitajika kwa ajili ya nauli au mafuta Kama gari private emergency njiani, kulala hotel, kula na kunywa n.k.
Kama unaenda karibu basi hata karanga ziwepo. Hela muhimu asee.
Nimejibu, umeamua tu kutokubali kwamba ni majibu
I got you Romeo 😁Mambo ya wizara ya ndani hayo.
Elewa SEX ni bora kuliko chakula.
Sogea tuishi ni legal, ndio maana huwa kuna kubariki ndoa , ndoa zinazo barikiwa ni hizi sogea tuishi na serikali inatambua mkiisha ishi nahisi miezi sita inatambua..
Siuoni kabisa hata kwenye replies zangu.Haijui huyu wakishua [emoji23]
Itakuwa maana hata zile notification hazipo tena. Mods kuna muda wanakuwa jau Sana. Sasa ule uzi una shida gani? Au wameushift? Ila wangeshift notification zingekuwepo.
Hata kahawa ni chakulaMie sipendi chakula by nature kwa amabe ameisha wahi niona au kukaa na mie automatic atajua tu, kwamba sipendi chakula .. kidogo humu Deeboyfrexh anaweza kujua.. chakua sipendi kabisa, zaidi natumiaga vitu moto moto kama kahawa .. endekezekni chakula tu mtapata corona
Meza ya bwana sakramenti huwa ni nini?Ndio maana SEX huitwa Tendo takatifu, ila hakuna chakula kitakatifu.. Mjiongeze nyie
Saint Anne Depal
Kipande ndio hufanya safari kuwa ndefuView attachment 1871548kipande sumbuufu kwa malori. Chalinze - Dar.
Sana. Unaweza tumia masaa matatu kutembea km 100.Kipande ndio hufanya safari kuwa ndefu
Aache kufananisha njaa na vitu vya ajabuAre you married? If yes uko sawa.
Lakini isiwe ya sogea tuishi. Ile ambayo inatambulika duniani na mbinguni... Lakini bado mtakula tu, njaa itawakomesha maana nyie hamko kwenye kundi la ndege wa angani.
Mie kwangu sex ni bora kuliko chakula, na wapo wenzangu wanajua sex ni bora kuliko chakula. endeleeni kula labda mtapata VX.RHata kahawa ni chakula
Wewe kutopenda kula haimaanishi sex ni muhimu kuliko chakula.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mkeka hapo Holy man akiwa nyuma ya steering atalaze mshale mpaka abiria wake wapige kelele 😂View attachment 1871548kipande sumbuufu kwa malori. Chalinze - Dar.
Hicho kipande ukikaa vibaya Dar to Morogoto unatumia hata masaa nneSana. Unaweza tumia masaa matatu kutembea km 100.
Kuna sehemu chalinze imenyooka.. unafunguka tuuHuo mkeka hapo Holy man akiwa nyuma ya steering atalaze mshale mpaka abiria wake wapige kelele 😂
Narudia hujui nguvu ya SEX, naweza mpa mtu VX.R V8 kwa ajiri ya sex na sio kwa ajiri chakula..Aache kufananisha njaa na vitu vya ajabu
Mwili bila chakula hauendi ..unless awe anaishi rohoni tu! Na ukiwa duniani lazima uishi mwilini .
Hata Mungu mwenyewe alilazimika kuja duniani kwa jinsi ya mwili,,aliuvaa mwili
Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa ndogo tuHaha kuna sehemu pesa mbele kama fundo la tai ya Holy Man
😊 😊 😊 😊...I got you Romeo 😁
mkate na divai au maji.. achana na sex wewe.. nikiona neno sex hadi nashiba na usingizi juu.. acha nikalale kwangu
Wanasikitisha sana. 😂Siuoni kabisa hata kwenye replies zangu.
Wana fitina hawa Mods..
Hawataki tujimwayemwaye na kilo zetu 50.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaelewa na anajua vizuri ila ameanza kuiga tabia yako ya ubishi.Aache kufananisha njaa na vitu vya ajabu
Mwili bila chakula hauendi ..unless awe anaishi rohoni tu! Na ukiwa duniani lazima uishi mwilini .
Hata Mungu mwenyewe alilazimika kuja duniani kwa jinsi ya mwili,,aliuvaa mwili
Sent using Jamii Forums mobile app