Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wapi ulisikia dawa ya brain ni chakula ?

ila uki sex akili hutulia na brain huanza chakata mahesabu vizuri kabisaa
Dawa ya brain ni utulivu wa akili na nafsi.

Sex sio essential kwa binadamu.
Mods wana njaa ya tumbo mpaka akili inakosa utulivu.

Tukukubalie tu kwamba kwako sex ni essential. Ila si kwa wote.
 
Mie kwangu sex ni bora kuliko chakula, na wapo wenzangu wanajua sex ni bora kuliko chakula. endeleeni kula labda mtapata VX.R

SEX inawapatia watu nyumba na magari.. ila sio chakula
Inawezekana Sex inaleta nyumba na gari ila chakula kinawapa watu uhai.

Gari na uhai kipi Cha muhimu kwako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…