Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Anyway siyo mbaya kwahiyo hiyo sex huwa unaifanya na mtu mmoja au ndiyo naniliu tena
Hahaaa i doubt🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄... Leo naingia barabarani.. tendo ni kwa mtu mmoja maana moyo upo mmoja na nafsi ipo moja..
Mungu anakupa wa kufanana nae..Hahaaa i doubt
Kuna mwanamke anayeweza kuendana na hiyo kasi yako kweli
Sema tu ukweli
Hapo wataokotwa wengie sana.. maana watu wanajiachia vibaya.. na lengo lao kukusanya pesa hapo.. siku hizi nimeona wanategea maeneo ambayo ni lazima goti likunjuke.. uzuru hizi siku za karibuni wananibutua tochi ila mwendo wanao nikuta nao huwa wanachoka wenyewe.. nalipa 30, ile kiroho safiWale wanaotumia Morogoro road mjipange na tochi kwenye hii super high way yetu. Nimekutana na jamaa wa tochi hapo baada ya St. Jospeh kabla ya Mbezi.
😥😥😥😥😥 mtu unavumilia siku tatu nne tu .. kuna wakati unakuwa mbali nae hata kwa mweziKwahiyo hata akiwa kwa zile hali zetu bado tu unapeleka moto
Sasa ukiwa mbali naye unafanyeje[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] mtu unavumilia siku tatu nne tu .. kuna wakati unakuwa mbali nae hata kwa mwezi
Huko mbali ni kazi kazi tu, siku nikirudi bomu la atomic linahuska na hakuna kutoka yaani 🙂🙂🙂Sasa ukiwa mbali naye unafanyeje
Sijui this time 88 itakuwepo?
Kunakuwaga na maua mule ndani afu bei reasonable.
Arusha sehemu ipi kuna maua mengi cheap?
Ubwabwa wa nazi na maharage [emoji23]
Kitimoto na pilau/ ndizi/ ugali.
Zege na mishikaki ya kuku
Mirinda nyeusi nacake
Machalari
Mtindi na ugali na nyama roast
Ubwabwa maini
Ubwabwa sangara nk
Org... Is just for few seconds.
Njaaa mbaya njaa mbayaNimepatwa na njaa ghafla
Alaa basi kumbe kuvumilia mnaweza yaani kelele zote zile mie nikajua huwa unafanya kila siku kama chakula kumbe siku nyingine unakaa mwezi mzima bila bila na bado uko haiHuko mbali ni kazi kazi tu, siku nikirudi bomu la atomic linahuska na hakuna kutoka yaani 🙂🙂🙂
Good morning wazee wa road trip..
Nadhani tumeelewana...[emoji85]View attachment 1872433
Kuna little moreSijajua wanapouza
Nitazunguka kwa ndugu kuwasalimia [emoji28]
Nisifie maua Yao kisha niyakusanye ya kutosha [emoji28]
Kabisa.Njaaa mbaya njaa mbaya
Nawafahamu.
Nitapita hapo jioni.Wale wanaotumia Morogoro road mjipange na tochi kwenye hii super high way yetu. Nimekutana na jamaa wa tochi hapo baada ya St. Jospeh kabla ya Mbezi.
Duh, kila siku tena...Alaa basi kumbe kuvumilia mnaweza yaani kelele zote zile mie nikajua huwa unafanya kila siku kama chakula kumbe siku nyingine unakaa mwezi mzima bila bila na bado uko hai
Kula nakula, ila ukiweka chakula hapo na sex naanza sex ndio inafatia chakulaNdiyo kuna wenzako huwa wanataka kila siku
Anakuambia kwake ni kama chakula yaani kutwa mara tatu
Sasa wewe kama una uwezo wa kuvumilia hadi mwezi mzima basi wewe kwako sex siyo kama ulivyokuwa unaiongelea hapa jana sasa jaribu kukaa mwezi mzima bila kula kabisa tuone