Pole Sana kwa hayo yaliyokukuta......Hao watu ni maadui wakubwa wa maendeleomkuu hofu yangu ni kwene reliability na je inahitaji ile extra care au unaeza kuburuza kama toyota?
Maana nataka kuchange from toyota baada ya wezi kunitenda taa, side mirror, power window, dashboard, control box etc
View attachment 1873884
Don Town.
Holy Man Leo nimepita kwenye Ile bustani Posta.
View attachment 1873389View attachment 1873390
😎😎 Unataka uvunje record ya mdaJioni naelekea Tanga, nitakuwa na V8 ikifanya safari yake ya kwanza nje ya Dar(sio yangu mimi ni test driver tu). Leo itabidi niendeshe usiku tu hamna namna.
ISO M.CodD
Holy Man mida yenu hio
dahGood morning wazee wa road trip..
Nadhani tumeelewana...[emoji85]View attachment 1872433
Ilo una enjoy, huna haja ya kuwahi sana..Hell no. Nimestaafu.
Kuna boda boda, alijikwaruza kwenye gari yangu, aka mind kanivia mbele akaipiga side mirror kwa nguvu, akaongeza speed alivyo mjinga, nikamtia push moja sana chalii, alafu nikasepa zangu.. hawana akili wakeDuh! Ali rest in peace au alipona?
Mi nilim'bamiza bodaboda kwenye mataa ya mwanamboka mbele traffic aisee.
Hii chuma huwezi pakia mtu hapoNaunga mkono hoja. Hawa wachafuzi wa uzi wapigwe 'ndamlo' ndipo msamaha upite... wese Lita 5 impate kila mwenye mkoko kwenye uzi huu.
Kwa wenzagu na mie wenye baiskeli, tupewe sneaker CONVERSE pair moja moja 'tukaoshee' kitaa na bike zetu... 😎View attachment 1873830
-Kaveli-
Duh pole sana.mkuu hofu yangu ni kwene reliability na je inahitaji ile extra care au unaeza kuburuza kama toyota?
Maana nataka kuchange from toyota baada ya wezi kunitenda taa, side mirror, power window, dashboard, control box etc
View attachment 1873884
Pole sana mkuumkuu hofu yangu ni kwene reliability na je inahitaji ile extra care au unaeza kuburuza kama toyota?
Maana nataka kuchange from toyota baada ya wezi kunitenda taa, side mirror, power window, dashboard, control box etc
View attachment 1873884
pole sana mkuu.mkuu hofu yangu ni kwene reliability na je inahitaji ile extra care au unaeza kuburuza kama toyota?
Maana nataka kuchange from toyota baada ya wezi kunitenda taa, side mirror, power window, dashboard, control box etc
View attachment 1873884
Safari njema mkuu,Bado napambana na foleni za Dar
Safari rasmi itaanza utakapoivuka bunju......Bado napambana na foleni za Dar
Nipo mwenge kuja uelekeo huo,barabara imechafuka kwa foleni au bado??Safari huwa naanzia Total Bagamoyo.
Hawa wezi wanarudisha sana nyuma.
Ukikamata unachoma mishkaki wale, au unayofoa kiungo kimoja bado kimoja huku akiwa hai.. shenzi sana weziingawa sipendi violence ila wakikamatwa wakapigwa roho ya huruma inakosa nguvu.