duuh wanaziweka A+ pabayaArusha nimeona DVC 8..
Kabisa na hizi DV nakutana na BMW,Forester na Imprezza Sijakutana na IST badoKuna watu mungu kawakunia nazi mzee baba...
Ndiyo vizuri mzee baba tuanze kuuziana A+ kwa mafungu ya laki nane nane..duuh wanaziweka A+ pabaya
Naona raia wameshaanza kuendana na kasi ya JPM, akibana mlango huu, wao wanatokea dirishani, akibana dirisha wanatoboa dari...ilimradi wawe na nyaraka zote..Kabisa na hizi DV nakutana na BMW,Forester na Imprezza Sijakutana na IST bado
Classic hioKuna hii vintage inaranda randa hapa Arusha...inanitoa udenda...View attachment 1659136
Na Xtrail new modelAu Vanguard
wauzaji mtambue yanayoendelea msitutese jamanMadalali kazi mnayo
Vita ya Panzi furaha ya kunguru, tunasubiri namba A Kwa bei za kucheka Meno 32 nje.wauzaji mtambue yanayoendelea msitutese jaman
Najaribu kuwaza Starlet, GX 90 - 100 zitauzwa pesa ngapi..[emoji848][emoji848][emoji848]Vita ya Panzi furaha ya kunguru, tunasubiri namba A Kwa bei za kucheka Meno 32 nje.
Tunapoelekea sasa gari za zamani tutakuwa tunauziwa kwa bei ya boda boda na chenji inabakia.Najaribu kuwaza Starlet, GX 90 - 100 zitauzwa pesa ngapi..[emoji848][emoji848][emoji848
Wamiliki mwenyewe watata bado wanataka kuuza starlet namba B kwa 4MTunapoelekea sasa gari za zamani tutakuwa tunauziwa kwa bei ya boda boda na chenji inabakia.
Maisha yanakwenda kasi mnoo.
Jana niliiona Subaru DVA maeneo ya Same.Arusha nimeona DVC 8..
Vyuma visingekuwa vimekaza sahivi tungekuwa namba E mwishoni au F mwanzoni.Na hivi ndio vyuma vimekaza..
Nguvu ya soko itawafanya washushe tu, watake wasitake, la sivyo kadri muda unavyokwenda depreciation ya gari sokoni itazidi kudorora zaidi na zaidi na gari haitauzika kabisa!Wamiliki mwenyewe watata bado wanataka kuuza starlet namba B kwa 4M
Na wale wanao uza Toyota Corolla 100/110. Kwa million 4 mpaka 3. Tunasubiri namba E ifike tuweke dau la laki 8 kisha nazuga kama naondoka kumbe nasubiri jibu la muuzaji.Najaribu kuwaza Starlet, GX 90 - 100 zitauzwa pesa ngapi..[emoji848][emoji848][emoji848]