Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mkuu siku hizi nimekuwa boss kitambe meneja, safari zimekuwa nadra sana, ila safari za town nazipiga kweli kweli Tume waachia ma junior 😁😎 ila jumamosi nina safari naenda Tabora hadi kahama alafu narudi Dar . mwenye abiria.. condition pisi kali mguu ya bialeee 😎
Kwahiyo sisi wenye miguu ya soda sijui ya miwa hatupandi hiyo lift? Asalalee
 
Mkuu siku hizi nimekuwa boss kitambe meneja, safari zimekuwa nadra sana, ila safari za town nazipiga kweli kweli Tume waachia ma junior [emoji16][emoji41] ila jumamosi nina safari naenda Tabora hadi kahama alafu narudi Dar . mwenye abiria.. condition pisi kali mguu ya bialeee [emoji41]

Hivi mnavyong’ang’aina hizo pisi kali kina sie mnategemea tupewe lift na nani?

Manake RRONDO Iso wote wanaweka condition ya Upisi kali
Punguzeni masharti bwana tufaidi wote hizo trip
 
Back
Top Bottom