Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀 Itapendeza Cate hotel mrogoro then siku inayofata narudi mdogo mdogo.. Kila safari inayokuja inakufa sijui kuna nini tu 😂😂Itabidi uende tu hadi Msata na kugeuza 😀😀😀
Ume ni miss eeh 😎😊Kwendraaaaaa 😂
Lushoto safi sana.. December hiyo na mie nitakuwa na mnyama mkali sanaa 😎😎Ningekuwa na alphard ningewabeba wote tukale weekend milimani huko.
Ni wapi hapo nikashangae kidogo magari makaliMishikaki ya hapo sio ya nchi hii! Sasa ukitaka kuona ndinga mji huu kaa hapo.
cc Saint Anne
Mimi sina masharti jamani....
Wewe mbona mtamu kabisa kama asali aka Pisi kali, ukipewe lift unaruka kamba [emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23]Mimi sina masharti jamani....
Wanao elekea menopause ndio dili hao, wana nyota za mafanikio 😊😊Uliniona wapi?
Au story za vijiweni?
Naelekea menopause ila msinitenge kwenye safari zenu
Tutapambana nao humohumo hadi watupe lift[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wewe tu na ndinga yako boss wangu[emoji23]
Ndiyo ila Daslam sijui[emoji38]Upo Dar?
Kiasi 😂Ume ni miss eeh 😎😊
Sijui hata nilikwama wapi![emoji1751]Muda wote huo umekaa Dar hujui mitaa?
😀😀😀😀😀Kiasi 😂
Itabidi siku moja nikashuhudie.Hapo ukae kuanzia saa 11 jioni leo wakati watu wanarudi nyumbani wengine wanaenda viwanja vikali balaa