Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Last week nilikua geita kule Toyota wish ndo wamezifanya daladala mtaani nimeshangaa Sana halafu wanazitunza balaa mbele kule ziko vizuri kabisa na hazijapondeka mbele na Zina piga ruti za rough road humu jukwaa zinaitwa kenge mara nyoka na zinapondwa hatari humu jf.
Km kule loliondo kwa babu probox ndio daladala zao zinapiga kazi balaa masai wanajaa ndani mpk kwenye carier[emoji847]
 
Mecheka hadi machozi Saint Anne
Screenshot_20210903-074813.png
 
Hapa

Nitateseka kidogo kipande cha Dodoma - Iringa, Igawa - Tunduma na kidoogo yale matuta ya Tunduma Sumbawanga

Ahasnte mkuu nitajitahidi kuzingatia ushauri wako
Dom - Iringa yale mahandaki huwa yanatesa ila Kati ya Mtera na Migoli Kuna unafuu,shida itaanza kati ya Migoli mpaka Isiimani baada ya hapo ni furaha tuu,utakwenda kuteseka tena kipande cha Igawa shida na kero ni matuta ya Tunduma Swanga maana waliyaweka km vile walikuwa wanakomoa,,
 
Back
Top Bottom