Boogman
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 2,439
- 5,612
Km kule loliondo kwa babu probox ndio daladala zao zinapiga kazi balaa masai wanajaa ndani mpk kwenye carier[emoji847]Last week nilikua geita kule Toyota wish ndo wamezifanya daladala mtaani nimeshangaa Sana halafu wanazitunza balaa mbele kule ziko vizuri kabisa na hazijapondeka mbele na Zina piga ruti za rough road humu jukwaa zinaitwa kenge mara nyoka na zinapondwa hatari humu jf.