Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Km kule loliondo kwa babu probox ndio daladala zao zinapiga kazi balaa masai wanajaa ndani mpk kwenye carier[emoji847]
 
Hapa

Nitateseka kidogo kipande cha Dodoma - Iringa, Igawa - Tunduma na kidoogo yale matuta ya Tunduma Sumbawanga

Ahasnte mkuu nitajitahidi kuzingatia ushauri wako
Dom - Iringa yale mahandaki huwa yanatesa ila Kati ya Mtera na Migoli Kuna unafuu,shida itaanza kati ya Migoli mpaka Isiimani baada ya hapo ni furaha tuu,utakwenda kuteseka tena kipande cha Igawa shida na kero ni matuta ya Tunduma Swanga maana waliyaweka km vile walikuwa wanakomoa,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…