Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
🧔🏼♂️🧔🏼♂️🧔🏼♂️🧔🏼♂️ hutaki kuona utaratibu wa hotel wa kuingia na kutoka kumbe .. achana na samaki tunaenda na wewe ujifunze mambo mapya vipi weweeee 🥸🥸🥸[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mubashara,si unapiga video call..mm nakuwa naangalia matukio tu yanaondelea na samaki uliyemuopoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwenye lodge ndio mnafanyiwa hivyo, ila hotel kubwa kubwa hazina huo mchezo zina heshimu wateja wake saa tisa usiku na siku ingine hiyo kumekucha kabisaaa
[emoji23][emoji3187][emoji3603][emoji3187][emoji3603][emoji3187][emoji3603][emoji3187][emoji3603] hutaki kuona utaratibu wa hotel wa kuingia na kutoka kumbe .. achana na samaki tunaenda na wewe ujifunze mambo mapya vipi weweeee 🥸🥸🥸
twende basi 😌😌😌
Hilo ondoa hofu. Umepata kabisa tunaanzia bagamoyo kwanza tukale pweza 😌
Bagamoyo mbali.Hilo ondoa hofu. Umepata kabisa tunaanzia bagamoyo kwanza tukale pweza [emoji18]
Hapa ndio tumeongea lugha moja sasa.. acha nijiandae kukujia 😎😎😎Bagamoyo mbali.
Nataka hapahapa mjini.
Ukishanizungusha Dar yote baadaye utanipeleka nishuhudie utaratibu huo wa hoteli uliousema.
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaHapa ndio tumeongea lugha moja sasa.. acha nijiandae kukujia [emoji41][emoji41][emoji41]
Napajua vizuri.. kule hukumbuki nilikuambia nilipita siku ya ufunguzi 😌😌Sawa
Pa kunipata unapajua..
Ole wako usije[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu hapo ukagoma kupita tena.Napajua vizuri.. kule hukumbuki nilikuambia nilipita siku ya ufunguzi [emoji18][emoji18]
Watu wa Dar ukiwa nje ya dar tuna show love sana, ukija tu tuna ku kwepa 😅😅😅 hii ndio DarTangu hapo ukagoma kupita tena.
Kaone[emoji23]
Watu wanarudi wanadai ofa irudiwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ninavyojua halina ugumu sana kulinganisha na usafiri wa aina nyingine kama ndege au meli[emoji7]
Hii ni ya wapi?
Ila njia ya treni huwa inaniogopesha Sana..yaani nyembamba halafu treni inatakiwa ilenge mulemule[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli,hata mimi nimeiona hii.Watu wa Dar ukiwa nje ya dar tuna show love sana, ukija tu tuna ku kwepa [emoji28][emoji28][emoji28] hii ndio Dar
Mio sio kweli... mkarimu sanaaa hujagi vipande vyangu ukitokea haya maeneo ukinicheki tu naku kirimu vizuri kabisaa 😎😎Kweli,hata mimi nimeiona hii.
Ukiwepo wewe mmoja wapo na wa kwanza,,japo siyo wote wana hii tabia.
Sasa sijui mnadhani tutawaomba hela au kuharibu bajeti zenu za chakula[emoji1787].
Unanikwepa mimi nina kila kitu changu siombi chocolate.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah hilo ndiyo luxurious kidogo kulinganisha na lile la kwetuPanda la Tazara lile Express utafurahi Sana.
Ohoo mvua ikinyesha reli inateleza[emoji1751],,hapo siwezi kupanda.Kwa ninavyojua halina ugumu sana kulinganisha na usafiri wa aina nyingine kama ndege au meli
Ugumu sana sana upo kwenye kufunga brake ndiyo dereva atakiwa awe makini maana lile brake zake hazifungwi kama za gari
Ndiyo maana hata ajali zake ni chache sana na zikitokea huwa ni nadra sana kuua au kujeruhi watu wengi labda atokee mtu kwa nje agongwe au akanyagwe na huwa siyo kosa la dereva
Sasa ukutane na dereva anayelikimbiza wallahi utashinda kwenye behewa moja tu kutwa nzima au utasubiri hadi lisimame stesheni
Maana kuvuka kutoka behewa moja hadi jingine pale kwenye maungio huwa panachezacheza sana usipojishikilia waweza kuanguka au kujigonga
Kwa ninyi waoga ponapona yenu labda mvua inyeshe hapo ndiyo lazima liendeshwe taratibu sana maana reli inakuwa inateleza
All ni all ni usafiri mzuri sana kwa kutalii kama una safari ndefu na ukaboard yale madaraja yenye vitanda utaenjoy
Duh [emoji26]Yeah hilo ndiyo luxurious kidogo kulinganisha na lile la kwetu
Halafu hilo nasikia kila safari lazima ligonge mtu usiku sasa sijui kweli
Nilioneshwaga picha ya mtu aliyekanyagwa na treni daah safari yote niliiona chungu
Yaani tena kama wewe bora ukae kimya tu[emoji1787]Mio sio kweli... mkarimu sanaaa hujagi vipande vyangu ukitokea haya maeneo ukinicheki tu naku kirimu vizuri kabisaa [emoji41][emoji41]