Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wanaruhusu jinsia pinzani kujimix pamoja?
Kitanda si ni deka la 2pple tu?
Hamna CCTV? [emoji51]
Kuchunguliwa / kuchunguliana na majirani?
Huko vyumbani ni kupo na partition ya rooms kama hostel za shule au?
Hawaruhusu jinsia pinzani kwenye chumba kimoja yaani kwenye chumba akishaanza mwanamke tu basi abiria wengine watakaofuatia kwenye hicho chumba lazima wawe wanawake na vivyo hivyo kwa wanaume

Sijajua kwa treni hizo za TRC ila za TZR first class kila chumba kina vitanda vinne (deka za watu wawili wawili) na second class vitanda sita (deka za watu watatu watatu) na behewa moja laweza kuna na vyumba vinne ambavyo vinakuwa viko upande mmoja tu na upande mwingine ni kacorridor

Sasa ukitaka muwe wawili tu wewe na mpenzi wako ina maana mnatakiwa mlipie vitanda vyote vilivyomo kwenye hicho chumba mnachotaka kuwepo ili asije mtu mwingine kutaka kuboard humo mkishafanya hivyo wala hayuko wa kuwasumbua wala kuwafuatilia na hakuna camera
 
First class mnakuwa wawili .. alafu sana kwich kwich ya kwenye treni.. miaka ya zamani ile TRC iko vizuri tulikuwa tuna enjoy sana first class maana ina wa suport kuchezesha na kupandisha mizukaaa [emoji1][emoji1][emoji1] akili zangu hatari kweli
Basi siku hizi wamebadilisha

First class kila chumba ni vitanda vinne na second ni sita

Hata hivyo wanasema haya ni mabehewa mapya ya zamani yalichakaa sasa sijui ndiyo hayo yalikuwa na vitanda viwili
 
Yan wee kila sehemu upo[emoji848][emoji849]
Wewe upo mkoa gani nikuambie sehemu nilipo kwenye huo mkoa?[emoji23]


Ukiona hivyo jua hiyo sehemu niliwahi kuishi,,mtu akishaitaja sehemu niliyowahi kuishi huwa nafurahi sana na narewind matukio ya nyuma niliyoyaexperience hiyo sehemu.
Najikuta naandika chochote ili tu nifurahi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom