Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wewe upo mkoa gani nikuambie sehemu nilipo kwenye huo mkoa?[emoji23]


Ukiona hivyo jua hiyo sehemu niliwahi kuishi,,mtu akishaitaja sehemu niliyowahi kuishi huwa nafurahi sana na narewind matukio ya nyuma niliyoyaexperience hiyo sehemu.
Najikuta naandika chochote ili tu nifurahi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Niko mby mafiat hapa natafuna mdudu savoy bar[emoji847]
 
Nyie semeni babalao wenzenu wanaenda kumwaga watu[emoji23]

Juzi Kati hapa lilipinduka pwani pwani huko,asubuhi na mapema.



Kawia ufike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zile Scania na Mercedes Benz wewe usifananishe na hizi Yutong

Jiulize kwanini mabasi yanayopataga sana ajali ni Yutong na Zhongtong kuliko Scania au Volvo ambayo ni mara chache kama hivyo

Na hata hivyo Sauli ana madereva wazuri na makini sana hata matraffic wenyewe wanaukubali mziki wao japo ndiyo hivyo inabidi tu wasimamie sheria za barabarani

Madereva wake wanakimbiza kila siku wanakuwa wa kwanza kufika Dar/Mbeya/Tunduma na bado mabasi yake hayali mizinga hovyo hovyo kama hayo mengine

Kuna kampuni kadhaa zinasifika kwa mabasi yake kupata ajali mara kwa mara hadi watu wanaziogopa
 
Zile Scania na Mercedes Benz wewe usifananishe na hizi Yutong

Jiulize kwanini mabasi yanayopataga sana ajali ni Yutong na Zhongtong kuliko Scania au Volvo ambayo ni mara chache kama hivyo

Na hata hivyo Sauli ana madereva wazuri na makini sana hata matraffic wenyewe wanaukubali mziki wao japo ndiyo hivyo inabidi tu wasimamie sheria za barabarani

Madereva wake wanakimbiza kila siku wanakuwa wa kwanza kufika Dar/Mbeya/Tunduma na bado mabasi yake hayali mizinga hovyo hovyo kama hayo mengine

Kuna kampuni kadhaa zinasifika kwa mabasi yake kupata ajali mara kwa mara hadi watu wanaziogopa
Barabara zetu hizi na mwendo wao ni maji na mafuta.

Watu wanashangilia kwa Sasa kwa kuliita sauli "mnyama" ila wanatengeneza bomu ambalo litakuja kutugharimu hapo baadaye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barabara zetu hizi na mwendo wao ni maji na mafuta.

Watu wanashangilia kwa Sasa kwa kuliita sauli "mnyama" ila wanatengeneza bomu ambalo litakuja kutugharimu hapo baadaye.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo mbaya wacha waendelee kujitengenezea jina kwanza kitu ambacho wameshafanikiwa kwa asilimia kubwa

Watakapoanza kula mizinga mfululizo ndipo watakapoanza kupunguza mwendo lakini wakiwa tayari na wateja wengi

Ila tuongee ukweli jamaa anajitahidi kwenye tasnia ya usafiri wa mabasi ya mikoani kwa upande wa nyanda za juu kusini na siyo tu "mnyama" bali pia aitwa "mwamba wa kusini" pamoja na wenzie kina Al Saedy, Kilimanjaro Express na New Force.
 
Siyo mbaya wacha waendelee kujitengenezea jina kwanza kitu ambacho wameshafanikiwa kwa asilimia kubwa

Watakapoanza kula mizinga mfululizo ndipo watakapoanza kupunguza mwendo lakini wakiwa tayari na wateja wengi

Ila tuongee ukweli jamaa anajitahidi kwenye tasnia ya usafiri wa mabasi ya mikoani kwa upande wa nyanda za juu kusini na siyo tu "mnyama" bali pia aitwa "mwamba wa kusini" pamoja na wenzie kina Al Saedy, Kilimanjaro Express na New Force.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom