Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Holy Man,Extrovert samaki amekula chambo na ndoano ya mvuvi.
Screenshot_20210905-121035.jpg
 
Hawaruhusu jinsia pinzani kwenye chumba kimoja yaani kwenye chumba akishaanza mwanamke tu basi abiria wengine watakaofuatia kwenye hicho chumba lazima wawe wanawake na vivyo hivyo kwa wanaume

Sijajua kwa treni hizo za TRC ila za TZR first class kila chumba kina vitanda vinne (deka za watu wawili wawili) na second class vitanda sita (deka za watu watatu watatu) na behewa moja laweza kuna na vyumba vinne ambavyo vinakuwa viko upande mmoja tu na upande mwingine ni kacorridor

Sasa ukitaka muwe wawili tu wewe na mpenzi wako ina maana mnatakiwa mlipie vitanda vyote vilivyomo kwenye hicho chumba mnachotaka kuwepo ili asije mtu mwingine kutaka kuboard humo mkishafanya hivyo wala hayuko wa kuwasumbua wala kuwafuatilia na hakuna camera
Kwa TRL aka TRC wanaruhusu abiria mchanganyiko kwa daraja la kwanza kwa sababu huwa Kuna vitanda viwili na ndani ya chumba kuwa Kuna kabati la kuhifadhia nguo na beseni la kunawia ,ila kwa daraja la pili ambapo huwa Kuna vitanda sita hawaruhusu na chumbani mnakuwa na beseni la kunawia......ila pia Kati ya chumba na chumba isipokuwa chumba G kwa daraja la kwanza Kuna kuwa na mlango unaowaunganisha ndani kwa ndani ,inakuwa rahisi kufanyika fumanizi hivyo inapaswa kuutia lock kwa upande wako
 
Kwa TRL aka TRC wanaruhusu abiria mchanganyiko kwa daraja la kwanza kwa sababu huwa Kuna vitanda viwili na ndani ya chumba kuwa Kuna kabati la kuhifadhia nguo na beseni la kunawia ,ila kwa daraja la pili ambapo huwa Kuna vitanda sita hawaruhusu na chumbani mnakuwa na beseni la kunawia......ila pia Kati ya chumba na chumba isipokuwa chumba G kwa daraja la kwanza Kuna kuwa na mlango unaowaunganisha ndani kwa ndani ,inakuwa rahisi kufanyika fumanizi hivyo inapaswa kuutia lock kwa upande wako
😀😀😀 Bado watu wanafumania siku hizi
 
Maana inakuwa siku 2.
. Basi kila mtu ataenda saa6 usiku ili akae siku 2.
Maana kwa maelezo yake,ukiingia saa6 usiku unaweza kutoka keshokutwa yake... yaani utakaa hadi saa 4 asbh,utakaa tena hadi saa4 asbh ya kesho yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa lodge na guest house inawezekana. Maana pale unaandika tarehe ulioingia na yakutoka. Sasa ikiwa saa sita usiku unaandika tarehe hiyo inyoanza alafu unatoka kesho yake.

Kuna la hoteli kamoja Mbezi Beach tumefanya Sana hii😂😂😂
 
Kwa lodge na guest house inawezekana. Maana pale unaandika tarehe ulioingia na yakutoka. Sasa ikiwa saa sita usiku unaandika tarehe hiyo inyoanza alafu unatoka kesho yake.

Kuna la hoteli kamoja Mbezi Beach tumefanya Sana hii[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio naingia Maswa, natokea huko kwa wakurya[emoji23][emoji23]

Sasa nimefika kaunta namsubiri mhudumu anipe chumba, ndio nikasoma hapa[emoji1787][emoji1787]

Nimetoka nitarudi baadae ili nione kama hiyo akili itafanya kazi, nina breakdown kidogo lakini kuna mzigo nitapakia hapa

Nione kama nitaua ndege wawili kwa jiwe moja..[emoji3][emoji3]
 
Kwa lodge na guest house inawezekana. Maana pale unaandika tarehe ulioingia na yakutoka. Sasa ikiwa saa sita usiku unaandika tarehe hiyo inyoanza alafu unatoka kesho yake.

Kuna la hoteli kamoja Mbezi Beach tumefanya Sana hii[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom