Holy Man kwahiyo unataka kusema kwamba wanaume wote wanampenda Mungu na wanaenenda katika maagizo yakeUmechoma chanjo ? ukifanya maisha ya kimahusiano based na dunia ni tatizo. Author wa ndoa na mtu ni Mungu jifunze kutokea huko.. Mwanamke lazima awe mneyenyekevu kwa mume kama Sarah alivyo kwa bwana wake Ibrahim ila shida watoto wa siku hizi hamumpendi Mungu na neno lake
Naam hilo liko wazi mkuuHapana huo sio uanaume, huo ni ushamba. Mala mia tukanunue chakula out kuliko tumerudi tumechoka mtu aanze kimbizana jikoni kwangu haipo hivyo. But mwisho wa siku ndoa inahitaji hofu ya Mungu. Kama hakuna hofu ya Mungu hakuna ndoa hakuna lolote
Hapana sio wanaume wote wanapenda Mungu, na sio wanaume wote wanafaa kuwa waume. Wengine hawana maana yoyote ileHoly Man kwahiyo unataka kusema kwamba wanaume wote wanampenda Mungu na wanaenenda katika maagizo yake
Oohh and that brings me to the question kwamba kwahiyo kumbe mnapochepuka huwa mnafanya makusudi tu siyohuwezi kosa papa ya kula .. zimejaa humu zipo cheap hakuna mdada wa kutunyimia swala la mtu kutokufanya ni maamuzi wapo pia wanaume wengi wanakaa hata miaka miwili mitatu
Ni wangapi sasa ambao wanakutana na hao waliokusudiwa ujue hapa usijiongelee wewe tu tuongelee hali halisi iliyopo kwa jamiiNimeisha elezea hili unalo elezea .. upo sahihi ila ndoa ni baraka kama ukikutana na ulie kusudiwa tatizo ukikutana na mpigaji
Hapo ndio mnakosea kuelekeza kosa pande mmoja. Swala la usariti haliangalii jinsia, kila jinsi inaweza ingia kwenye shida ya usariti. Ukisema leo wanaume wanachepuka unakosea na ukisema wanawake wanachepuka unakosea pia. Ila Watu wamekua hawana ndiahamu katika mahusiano na ndio matokeo ya hayo yote. Naposema nidhamu ni neno pana sana. Kama nidhamu ipo huwezi kutana na kesi za usariti sio kwa Me au kwa KEOohh and that brings me to the question kwamba kwahiyo kumbe mnapochepuka huwa mnafanya makusudi tu siyo
Tunarudi author wa ndoa ni Mungu. Maisha ya mwanadamu yamejawa sana na machaguzi ambayo ni huru. Ukiona kuna kibaya kuna kizuri na kizuri kiliamua kuchaguzi jambo zuri na kibaya kiliamua kuchagua jambo baya. Kabla ya kuamua mtu XX kuwa mwenza wako ni vizuri kuwe na mda wa kutosha kuanzia ngazi za kifamilia na kiroho kuwafanyia vetting, sio siku hizi mwezi au miezi sita tayari mnaanza kucheza mechi na kila fujo, inaweza ikatokea ikawa nzuri ila matokea kuwa mabaya ni asilimia kubwa zaidiNi wangapi sasa ambao wanakutana na hao waliokusudiwa ujue hapa usijiongelee wewe tu tuongelee hali halisi iliyopo kwa jamii
Yaani hii mifano michache ndiyo mnaitumia utadhani ni wanawake wote wameanza kutembea na mabango barabarani ya kutafuta ndoa
Maisha ni kuchagua 😊😊Yaani hii mifano michache ndiyo mnaitumia utadhani ni wanawake wote wameanza kutembea na mabango barabarani ya kutafuta ndoa
Baadhi ya wanawake kutafuta ndoa kwenye mabango haibadilishi ukweli kuwa kuna wanawake wengi tu siku hizi hawataki kabisa kusikia habari za ndoa
Wanaotaka ndoa bado wapo waume kwa wake na hawatakaa waishe lakini pia na idadi ya wasiotaka ndoa waume kwa wake nayo inazidi kuongezeka siku hadi siku
Si ndiyo maana nimewaambia haya maneno huwa wanaishia kuandika tu mitandaoni kwa sababu hatujuani lakini tukija huku mitaani kila weekend kuna harusi na wanaoolewa ni hao hao single mothers na makahaba wastaafu hakuna mabikiraHivi kwani ndoa ni ufalme wa Mbinguni hadi watutishie kiasi hicho??
Uzuri unatishiwa hapa lakini Kuna mtu anakuelewa vibaya..kwahiyo wasitutishe.
Na hao wasiofaa ndiyo wengi na hawako tayari kubadilika sasa unafikiri wanawake wanafanyaje hapo niambieHapana sio wanaume wote wanapenda Mungu, na sio wanaume wote wanafaa kuwa waume. Wengine hawana maana yoyote ile
TrueHapo ndio mnakosea kuelekeza kosa pande mmoja. Swala la usariti haliangalii jinsia, kila jinsi inaweza ingia kwenye shida ya usariti. Ukisema leo wanaume wanachepuka unakosea na ukisema wanawake wanachepuka unakosea pia. Ila Watu wamekua hawana ndiahamu katika mahusiano na ndio matokeo ya hayo yote. Naposema nidhamu ni neno pana sana. Kama nidhamu ipo huwezi kutana na kesi za usariti sio kwa Me au kwa KE
Watu hubadilika lakiniTunarudi author wa ndoa ni Mungu. Maisha ya mwanadamu yamejawa sana na machaguzi ambayo ni huru. Ukiona kuna kibaya kuna kizuri na kizuri kiliamua kuchaguzi jambo zuri na kibaya kiliamua kuchagua jambo baya. Kabla ya kuamua mtu XX kuwa mwenza wako ni vizuri kuwe na mda wa kutosha kuanzia ngazi za kifamilia na kiroho kuwafanyia vetting, sio siku hizi mwezi au miezi sita tayari mnaanza kucheza mechi na kila fujo, inaweza ikatokea ikawa nzuri ila matokea kuwa mabaya ni asilimia kubwa zaidi
Mwanzo wa mwanadamu ( mwanaume na mwanamke ). Haukuwa hivi kama wengi wao wanavuo ishi, dunia ishaharibika na uovu na elimu uovu imo mioyoni mwa watuNa hao wasiofaa ndiyo wengi na hawako tayari kubadilika sasa unafikiri wanawake wanafanyaje hapo niambie
Na asipo badirika ? mtu anae badirika badirika hafai hata kwenye mamabo ya kawaidaWatu hubadilika lakini
DaahMwanzo wa mwanadamu ( mwanaume na mwanamke ). Haukuwa hivi kama wengi wao wanavuo ishi, dunia ishaharibika na uovu na elimu uovu imo mioyoni mwa watu
Kuna mifano mingi tu tunayo watu kwenye uchumba wanapendana kweli hadi mtu unawaonea wivu unasema hawa watakuja kudumu kwenye ndoa yao wanafunga ndoa mara ghafla baada ya miaka miwili ndoani vitimbi vinaanza hadi unajiuliza ni hawa kweli au ni wengine walibadilshwaNa asipo badirika ? mtu anae badirika badirika hafai hata kwenye mamabo ya kawaida
Honestly, I have been going through your posts especially on relationships and marriage.Si ndiyo maana nimewaambia haya maneno huwa wanaishia kuandika tu mitandaoni kwa sababu hatujuani lakini tukija huku mitaani kila weekend kuna harusi na wanaoolewa ni hao hao single mothers na makahaba wastaafu hakuna mabikira
Watu wanadhani eti mtu ukishaoa au ukishaolewa basi tayari moja kwa moja una ticket ya kwenda mbinguni bila kujua kuwa hiyo ndoa at some point in life inaweza kukufanya ukatenda dhambi moja matata sana ukawa shosti wa shetani
Kwanza hizo ndoa zenyewe siku hizi nyingi zimejaa uzinzi na uasherati tu mtu kaoa au kaolewa lakini anachepuka kama kawa tena kwa ufahari kabisa mtu anasema mimi sitosheki na mwanamke mmoja eti nature wakati ni kinyume na maandiko
Deeh..Daah
Mwananadu ana emotion, na emotion huja na kuondoka, kipidni hisi zipo juu unaweza ona haya ndio maisha na huyu ndio mtu, ila zikikata baraa limeingia, mjifunze kutofautisha hisia na upendo vitu viwili tofauti ila wengi wana nasa kwenye emeotionaKuna mifano mingi tu tunayo watu kwenye uchumba wanapendana kweli hadi mtu unawaonea wivu unasema hawa watakuja kudumu kwenye ndoa yao wanafunga ndoa mara ghafla baada ya miaka miwili ndoani vitimbi vinaanza hadi unajiuliza ni hawa kweli au ni wengine walibadilshwa