Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Ukanda wa pwani kwa mapishi hawana mpinzani.....inasemekana mapishi yote!
Wanajua kupika wale, nilikuwa nimepanga kwa mtanga na familia yake likuwa inaishi mahala hapo na karibu na hizo aprtment, binti yake mmoja anafanya kazi bank xxx nimefika pale bank na check yangu naona tabasamuu sijawai lipata toka nimeumbwaa, anajiuliza wanajiua mie net ishakata swali gumu ukisema unamjua au ukisema humjui, nikaishi kucheka . Akanikumbusha nikamuambia akaribie kwangu jioni hiyo kuanzia siku hiyo nikawa nakula mapishi hata kwenye hizi hotel sijawai kula kuanzia usafi msosi nikawa kama familia ila sijawahi kula mpishi hili ni angalizo tu 😁😁😁😁😁
 
Defence mechanism

Aya ya mwisho[emoji3]
 
Vijana wa saw*ya hao!
Hawafai kabisa.. sio wa kulala nao sehemu moja!


Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…