ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Niko nalamba lami sahizi. UniombeeNimetoka kujiboost kiroho[emoji4].
Kesho twende wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko nalamba lami sahizi. UniombeeNimetoka kujiboost kiroho[emoji4].
Kesho twende wote.
Unaenda wapi tena?Niko nalamba lami sahizi. Uniombee
Nakutamania. Chombo yako naipata makali yake....Niko nalamba lami sahizi. Uniombee
Iko na reputation kwakweli...Nakutamania. Chombo yako naipata makali yake....
Sio hampendi[emoji38]
Kwani Wife material hatupendi Hela?
Utakuja kuomba lift ya kuzimu, shauri yako. Tulia hapo mjini ukate mitaa mpaka uache kupotea potea.Unaenda wapi tena?
Mbona hujanistua ningeomba lift[emoji16].
Mungu wangu akulinde mno ,Amin.
Masuala ya unakula maisha mtu anakukumbusha kuna kesho hapana.Sio hampendi
Mnajua matumizi yake
Mambo ya ununuzi viwanja, ujenzi na watoto shule
Kufungua na kusimamia miradi, hiyo tu inakufanya uishi miaka hadi uzeeni
Ninaetafuta nataka kuishi leo/kesho kwa ajili ya raha za dunia
[emoji38]Sio hampendi
Mnajua matumizi yake
Mambo ya ununuzi viwanja, ujenzi na watoto shule
Kufungua na kusimamia miradi, hiyo tu inakufanya uishi miaka hadi uzeeni
Ninaetafuta nataka kuishi leo/kesho kwa ajili ya raha za dunia
Si ndio hapo sasaMasuala ya unakula maisha mtu anakukumbusha kuna kesho hapana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utakuja kuomba lift ya kuzimu, shauri yako. Tulia hapo mjini ukate mitaa mpaka uache kupotea potea.
[emoji38][emoji38][emoji38]Masuala ya unakula maisha mtu anakukumbusha kuna kesho hapana.
Familia[emoji38]
Mkuu fainali uzeeni .
Kuna muda ukifika utajikuta una uhitaji wa kuwa na familia na kutulia.
Tusitishane.[emoji38]
Mkuu fainali uzeeni .
Kuna muda ukifika utajikuta una uhitaji wa kuwa na familia na kutulia.
Waifu matirio[emoji38][emoji38][emoji38]
Kwahiyo mnatumbua hela zote Leo,kesho watoto wataenda na nini shule?
Hahahahah nimekumiss aisee I wish usingehamishwa pale dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuzimu siendi.
Mimi ni Mbinguni ...
Lift yako siiogopi[emoji4].
Siku hizi nimeimaster njia moja,,
Nataka nianze nyingine Sasa .
Kwani washawahi kukosa ada?[emoji38][emoji38][emoji38]
Kwahiyo mnatumbua hela zote Leo,kesho watoto wataenda na nini shule?
Kwani anao tayari[emoji848]Kwani washawahi kukosa ada?
[emoji23][emoji23][emoji23]Tusitishane.
[emoji38][emoji38]Waifu matirio
Kwenye ubora wako[emoji3]
Itoshe kusema[emoji38][emoji38]