Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mlivyo na wivu

Hata mmpewe nini

Bado utataka utamu usitoke nje

Nawaona wanangu waliooa

Nabaki kucheka[emoji3][emoji3]
Hilo muhimu mkuu.
Yaani mimi yangu usishee na mtu alafu eti unataka yako nishee na Watu..
Ptuuuu!

Labda nisijue,,,
Hata nisipojua lazima Sir God akunyoshe. .

Mwanaume wangu ajiandae kwa hayo..
Aidha atulie,au asubiri Mungu amtandike.
Hilo nishaweka nadhiri na Mungu .
 
Back
Top Bottom