Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni wewe umeandika[emoji3][emoji848]

Kumbe unaujua utamu

Mbona..[emoji41][emoji23][emoji848]
Haha kwani kuhusu utamu si ni wewe ndiyo umeanza kuandika mkuu mbona mimi hakuna mahali nimesema kama naujua huo utamu ama siujui

Halafu utamu ni neno subjective hutofautiana baina ya mtu na mtu kitu kitamu kwako si lazima kiwe kitamu kwa mwingine (hii ni kwa kila kitu)
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana khaaaah, nlitaka niseme neno, bas nimeona niweke chini tyuuh.
 
Hapo kwenye mabano umemaliza

Niwatakie wikend njema


Wacha nipumzike baadae nina kibarua [emoji3]

Nawapenda wote[emoji2321]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…