Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hehe hakunaga vya bure mama! Na wenyewe wanakuambia hakunaga urafiki wa kawaida kati ya mwanaume na mwanamke kwahiyo akikupa na hela ndiyo kabisa ujiongeze!
Hii dunia ya sasa watu hawana huruma! Kama mtu anaweza kumgeuza mwanaume mwenzie eti kisa tu kampa hela sembuse wewe mwanamke ambaye maumbile yanaruhusu!
Wekeni Hela,nakuja na pichaMimi
Haha kwani kuhusu utamu si ni wewe ndiyo umeanza kuandika mkuu mbona mimi hakuna mahali nimesema kama naujua huo utamu ama siujuiNi wewe umeandika[emoji3][emoji848]
Kumbe unaujua utamu
Mbona..[emoji41][emoji23][emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana khaaaah, nlitaka niseme neno, bas nimeona niweke chini tyuuh.Hehe hakunaga vya bure mama! Na wenyewe wanakuambia hakunaga urafiki wa kawaida kati ya mwanaume na mwanamke kwahiyo akikupa na hela ndiyo kabisa ujiongeze!
Hii dunia ya sasa watu hawana huruma! Kama mtu anaweza kumgeuza mwanaume mwenzie eti kisa tu kampa hela sembuse wewe mwanamke ambaye maumbile yanaruhusu!
Ndiyo ni wanaume kama wewe mkuu. Ila tu wao wana roho nyeupe na hawana mawazo mabovu.Wanaume sisi[emoji848]
Ama wavulana wenye hela za baba zao/ sugar mummys[emoji3][emoji848]
Teh basi Najua mama[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hadi wewe pia hujui kama nina watoto?
Ningeshangaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Teh basi Najua mama
Kwahiyo wewe huwezi kusaidia?Wanaume sisi[emoji848]
Ama wavulana wenye hela za baba zao/ sugar mummys[emoji3][emoji848]
Hebu kapicha sasa ili nikikuona hapo exclusive lounge nikushike bega 😂Itoshe kusema tarehe 22 Dec
Nitakuwa mitaa hiyo hadi jan 4
Tutagongana tu kama sio kugumiana
Hapo kwenye mabano umemalizaHaha kwani kuhusu utamu si ni wewe ndiyo umeanza kuandika mkuu mbona mimi hakuna mahali nimesema kama naujua huo utamu ama siujui
Halafu utamu ni neno subjective hutofautiana baina ya mtu na mtu kitu kitamu kwako si lazima kiwe kitamu kwa mwingine (hii ni kwa kila kitu)
@RRONDOHebu kapicha sasa ili nikikuona hapo exclusive lounge nikushike bega [emoji23]
Ndio hapo Sasa!Uko sawa kabisa wife material, sema jamii zetu hizi nzito sana mbona mm nikiwahi home napika tu na wife akija anakula maisha yanaenda wanangu nawaosha tu.
Namshikilia kama pindo la YesuNi kweli uliye naye usimuache aende
[emoji1787][emoji3]Ndio hapo Sasa!
Nalisikia halina uzi wala mshonoNamshikilia kama pindo la Yesu
Mama yake pia ni binadamu,anachoka.[emoji1787][emoji3]
Nioshe mtoto
Naanzaje na mama yake akiwa wapi[emoji848]
Ushasema msaadaMkuu kwa mfano nikakuomba msaada;
Utanipa au utaninyima?