Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,758
- 26,885
Ila hana nilichonacho[emoji3]Mama yake pia ni binadamu,anachoka.
Ana viungo sawa na vyako..mikono miwili miguu miwili .
Hata sielewi.Nalisikia halina uzi wala mshono
Hivi ni kweli[emoji848]
Statement ya mwisho ndio ina swaliUshasema msaada
Huko nitoeHata sielewi.
Ngoja tujitahidi tufike Mbinguni tutaonana linafsnanaje.
Hapa Sasa tujitahidi,afe kipa!afe beki! lazima tutoboe kwenda Mbinguni.
Na wewe huna alichonacho.Ila hana nilichonacho[emoji3]
Wewe tenaStatement ya mwisho ndio ina swali
@ISO M.CodD Holy ManNa wewe huna alichonacho.
Na vidudu vyenu havina uhusiano kabisa na kazi za nyumbani.
Kidudu hakiogeshi mtoto,,,mikono ndio inayofanya hiyo kazi ..na wote mna mikono miwili na mioyo ya nyama.
Hakuna aliyefungwa engine kwamba hachoki.
Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu kama Bendera,zitakuwa nyeupe kama theluji na sufu .Huko nitoe
Ukweli sitafika
Dhambi zangu nilivyozihesabu
Zinazidi honi za mwendokasi toka ilipoanza[emoji3]
Condition ipi mkuu?Wewe tena
Mimi nani hata nikunyime
But in condition
kama hivi [emoji3][emoji848]Ndiyo ni wanaume kama wewe mkuu. Ila tu wao wana roho nyeupe na hawana mawazo mabovu.
[emoji23][emoji23]
AiseeDhambi zenu zijapokuwa nyekundu kama Bendera,zitakuwa nyeupe kama theluji na sufu .
Tazama wote wametenda dhambi na kupungukiwa kwa utukufu wa Mungu.
Tukisema hatuna dhambi twajidanganya wenyewe,wala kweli haimo kwetu,bali tukiziungama Yeye ni mwaminifu atatusamehe na kutuepusha na udhalimu wote.
Alikuja kwa walio na dhambi,,,
Bali waliompokea aliwapa uwezo wa kuwa wana,ndiyo wale waliaminilo jina lake .
Mtu akiwa ndani ya Kristo,ya kale yote hupita,na tazama yanakuwa mapya.
Unaonaje ukaokoka mkuu??Aisee
Mama mchungaji
Mke kama wewe
Mie sikufai unaijua biblia mno
Huko napotembea nakutana na vitu yaani vitu..
Itoshe kusema
Hufai kuolewa na paka/fisi/jibwa kama mimi
Mie onja onja/ lambalamba
Napenda kujaribu/ kuonja/ kupiga staili mpya
Ila sio ile ya ndoa ya baba na mama
Mie ni pepo[emoji3]Unaonaje ukaokoka mkuu??
Kuokoka ni bure!
Usijiite mbwa,wewe ni wa thamani mno na Yesu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.
Kama wote wangelikuwa na haki basi Yesu asingelikuja.
Lango la kuzimu unaita kiduduNa wewe huna alichonacho.
Na vidudu vyenu havina uhusiano kabisa na kazi za nyumbani.
Kidudu hakiogeshi mtoto,,,mikono ndio inayofanya hiyo kazi ..na wote mna mikono miwili na mioyo ya nyama.
Hakuna aliyefungwa engine kwamba hachoki.
[emoji38]Mie ni pepo[emoji3]
Wacha nile mema kadri navyobarikiwa[emoji120]
Uthamani huo vipi[emoji872]
Kadhia za barabarani usipime[emoji30]
Itoshe kusema napenda ile kama riki boy
Kuliko
Niteme tu na mahubiri yako[emoji3][emoji23]
Kama huko unyagoni wanafunda kuweka engine mikononi ili mtu afanye kazi bila kuchoka,basi nitaenda.Lango la kuzimu unaita kidudu
Ule mhogo wa jang'ombe unaulinganisha na kazi nyumbani kweli
Unatakiwa kupelekwa unyagoni
Ukafundwe!
Mmh!Kama huko unyagoni wanafunda kuweka engine mikononi ili mtu afanye kazi bila kuchoka,basi nitaenda.
Kuokoka![emoji38]
Usijiwekee mipaka Mkuu
Ukishaokoka mambo yatabadilika
Ndiyo mkuu.Kuokoka!
[emoji1787][emoji3][emoji2][emoji1][emoji28][emoji38]