Dooh kweli tunatofautiana! Imagine huyo ni kati ya wadada ninaowaogopa humu jf na sijuagi hata kwanini!Hornet nilianza mpenda hata kabla sijamuona.
She's very charming na hana makuu kabisa.
MUNGU azidi mtunza huyu dada.
Kutokana na zile movies za Yesu ni kweli halina uzi wala mshonoHata sielewi.
Ngoja tujitahidi tufike Mbinguni tutaona linafwnana je.
Hapa Sasa tujitahidi,afe kipa!afe beki! lazima tutoboe kwenda Mbinguni.
Daah ila ninyi madereva wa trucks muumba awasaidie tu! Wengi mmeoa lakini hao wake zenu huwa tunawasikitikia sana maana huwa hamchaguagi wanawake wa kula!Huko nitoe
Ukweli sitafika
Dhambi zangu nilivyozihesabu
Zinazidi honi za mwendokasi toka ilipoanza[emoji3]
Yeah tena zaidi ya hivyo [emoji2][emoji2]kama hivi [emoji3][emoji848]View attachment 1968707
Kuoa?Daah ila ninyi madereva wa trucks muumba awasaidie tu! Wengi mmeoa lakini hao wake zenu huwa tunawasikitikia sana maana huwa hamchaguagi wanawake wa kula!
Pisi kali mnapenda muamala [emoji3]Yeah tena zaidi ya hivyo [emoji2][emoji2]
[emoji38]Dooh kweli tunatofautiana! Imagine huyo ni kati ya wadada ninaowaogopa humu jf na sijuagi hata kwanini!
Kama wewe ulivyosemaga unamuogopa yule naniliu wakati mimi nimezoeana naye! Kuna watu nawaogopa humu daah!
Kumbe!Kutokana na zile movies za Yesu ni kweli halina uzi wala mshono
Mama hawa madereva wa magari ya mizigo achana nao tu walishavurugwa! Wengi ukikaa nao huwa wanajisifia kabisa hizo dhambi zao wanazotenda hasa uzinzi!Unaonaje ukaokoka mkuu??
Kuokoka ni bure!
Usijiite mbwa,wewe ni wa thamani mno na Yesu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.
Kama wote wangelikuwa na haki basi Yesu asingelikuja.
Kuolewa na mwanaume wa haya magari ni kujitafutia presha na stress .Daah ila ninyi madereva wa trucks muumba awasaidie tu! Wengi mmeoa lakini hao wake zenu huwa tunawasikitikia sana maana huwa hamchaguagi wanawake wa kula!
Akishaokoka MUNGU anambadilisha.Mama hawa madereva wa magari ya mizigo achana nao tu walishavurugwa! Wengi ukikaa nao huwa wanajisifia kabisa hizo dhambi zao wanazotenda hasa uzinzi!
Na huwa hawako tayari kubadilika kutokana na nature ya kazi yao ni kuwaombea tu kwa muumba awasamehe! Ni wachache sana wanaojielewa na wanaoikwepa hiyo dhambi!
AiseeUmeomba buku ten tayari
Hilo ndio jibu
Habari bintiAisee
vita ya panzi furaha kwa kunguru 😀😀Kuna 50000
Naweka, nikirejea tu
Dadek
Mmoja wapo mie hapa 😊Wapo wanaume wengine huwa wana mioyo ya kusaidia tu mkuu na wala hawahitaji chochote in return! Ila hawa nahisi ni malaika walioshushwa moja kwa moja kutoka mbinguni!
Cheers [emoji1635][emoji482]Mi nimekumiss zaidi aisee,hivi sijakuambia eeh kama nimekumiss!
Weekend huwa napitapita kuuza uza pale[emoji23].
Ukinikosa njoo nyumbani.
Ukirudi nitakutafuta,tupate bia mbili tatu.
Urudi sasa[emoji847]Cheers [emoji1635][emoji482]
Nyauber wee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mie ni pepo[emoji3]
Wacha nile mema kadri navyobarikiwa[emoji120]
Uthamani huo vipi[emoji872]
Kadhia za barabarani usipime[emoji30]
Itoshe kusema napenda ile kama riki boy
Kuliko
Niteme tu na mahubiri yako[emoji3][emoji23]
🤨vita ya panzi furaha kwa kunguru 😀