Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Naomba niwatetee jamani.Yaani kama Holy Man yaani dah mpole kuanzia sura yake hadi roho,jamaa ni mlokole mzuri na ana madini sana hasa kwa watu wanaopenda mambo ya kiroho.ISO mpole sana pia ni mcheshi mno,ukikaa naye unacheka muda wote.,,hana makuu kabisa na amenisaidia mno kwenye mambo yetu ya macho...namuagiza hakasiriki na anafanya kitu willingly hadi unapenda.
Sasa hawa umewaingiza sasa hivi! Wale wengine ndiyo nilikuwa nasema siyo wapole!

Ila hao uliowataja sasa hivi Holy Man naweza nikasema anaonesha kabisa kuwa ni mpole sema kuna muda anajitoaga tu ufahamu humu jukwaani. ISO siwezi msemea sana maana sijamuelewa elewa vizuri bado ila kama ndiyo yuko hivyo ulivyosema basi ni jambo jema.
 
Huyu kaka nitamtetea popote atakaposemwa.Jamaa nilionana naye nikiwa katika kipindi kibaya mno,,ila kwa maneno yake tu nilipata relief...na zile gospel zake ahhhh!he is truly a holy man.Sijui labda kwa sababu napenda sana kusikia mambo ya kimungu.

mkuu,namuheshimu mno kama kaka yangu wa tumbo moja😂
😅😅😅😅😅😅 aisee ni jambo la faraja kusikia haya maneno mazuri juu ya kijana wangu na mzee mwenzangu Holy Man inapendeza kama umeamua muimarishe udugu wa kaka na dada
 
Sasa hawa umewaingiza sasa hivi! Wale wengine ndiyo nilikuwa nasema siyo wapole!

Ila hao uliowataja sasa hivi Holy Man naweza nikasema anaonesha kabisa kuwa ni mpole sema kuna muda anajitoaga tu ufahamu humu jukwaani. ISO siwezi msemea sana maana sijamuelewa elewa vizuri bado ila kama ndiyo yuko hivyo ulivyosema basi ni jambo jema.
Namie ni mpole jamani kama Holy Man munizingatie kwenye list!
 
😅😅😅😅😅😅 aisee ni jambo la faraja kusikia haya maneno mazuri juu ya kijana wangu na mzee mwenzangu Holy Man inapendeza kama umeamua muimarishe udugu wa kaka na dada
Huyo ni mdogo wangu mbona ipo wazi kabisaa. Goja nimalize vimeo vya kitaifa na kimataifa. Mdogo wangu atakula mema ya nchi hana makuu na hana roho kwanini mtu mwenye roho nyeupe isiyo na hila
 
Si kweli, kuna mshikaji wangu mmoja anapika hatari, na hajasomea FP.

X mmoja anapika mpaka ana'bake na hata certificate ya FP hana.

Mshua wangu anapika . Anakwambia jeshini tulifundishwa kila kitu..

Ninyi wazee wa michemsho msikariri kuwa Men hawajuagi kupika. Sema wengi wana uvivu, namtaniaga mshua nimemiss wali maini wako [emoji1787] anasema umweni wote niwapikie
Mshua ni Mjeda eh
 
Aisee pole yao wote waliohusika katika ajali sema hawa jamaa wenye IST sijui wanajihisigi wana super cars yani! Huwa wana vurugu sana huko highway ukiangalia kagari kenyewe kadogo il wanazipushigi utafikiri ni buggati labda na overtake zisizo na maana kwenye blind spots!
Wanazipush sana halafu hawana tahadhari na Ndo chanzo cha ajali hapo
 
solution yetu malegendary[emoji23]
[emoji23][emoji23]kila nikiwaza lifrstyle yangu aisee sijui kama kuna mtoto wa mtu ataendana nayo.
Aahh yaani mimi lifestyle yangu naijuaga mwenyewe aise. Kwanza kupika naweza jipikia chakula cha wiki nzima naweka kwenye friji nakuwa natoa kidogo kidogo napasha nakula imeisha hiyo we call it a night.

Masuala ya kuishi na mtoto wa mtu anataka umpikie asubuhi mchana usiku na vyombo uoshe mwenyewe hakuna kazi anayokusaidia hata moja huo ni mzigo. Labda ninyi mawaifu matirio ndiyo mtaweza ili mkavikwe mataji mbinguni.
 
Back
Top Bottom