Yaaan kuna mambo huko nako, anyways I do blv in God's plan, kilichopangwa ndicho kitatokea.Nakuzingua tu "raia mkakamavu"
Naelewa msoto wanaopitia kule, nilivyokua mujibu nilikutana na bro akiwa service ambaye alinifundisha physics form 1 (alikua na degree) .
Alikaa miaka mitano, mabogi yote yanampita tu, ikabidi akubaliane na hali lilivyokuja la pt.
Tatizo wengi kule ni majeshi kunoga, yaani hataki kusikia kitengo kingine zaidi ya Tpdf
Haha sasa mtu amesomea mbinu nyeti za wizi wizi hadi wa kimtandao ataacha kuwa tapeli kweli. Anyway tunarudi pale pale kuwa siyo wote wapo wanaofanya kazi kwa weledi.Bora JWTZ, tiss wanapenda utapeli tapeli. JWTZ wao hawaendi ile ki smart ila walau .. tiss smart ila janja janaja nyingi dk sifuri anakupiaga na hauna pa kumpeleka ndio ubabe wao
Sure, kila kitu kinapangwa na Mungu.Yaaan kuna mambo huko nako, anyways I do blv in God's plan, kilichopangwa ndicho kitatokea.
Bakabaka lina mzuka. Afu si mmekariri kwamba raia mteru mwingi wakiona kivazi [emoji1787][emoji1787]
Haha ni kweli kama pumzi ni shida inakuwa mtihani! Lakini pumzi si inatafutwa tu kuna mazoezi ya kutafuta pumzi maana hata mwenyewe wakati ndiyo naanza jkt nilikuwa sina pumzi ila with time unazoea maana mazoezi na madoso hayakwepeki!Hapo nilishasoma mashule yao msoto naujua japo kwa aslimia 1 [emoji1787] nikaona mbona ngoma nzito? Cha kufia nini pumzi zenyewe za kuku
Ina maana sapoti yangu hujaielewa hapo au unajitia uchizi?😅[emoji38][emoji38][emoji38]
Mimi ni last born kwa hiyo napenda sana kudeka na kujaliwa,,
Mtu mwenye sapoti.
Mimi bado mwanafunzi [emoji16][emoji16]Unajitoa kwa ma LT wenzako au?
Natumaini itakuwa level 3Mimi bado mwanafunzi [emoji16][emoji16]
Mteru haki ya nani? Nanga mmoja we 😀Sure, kila kitu kinapangwa na Mungu.
Mteru ni haki ya raia
Pamoja mdada [emoji3577]
Yeah jeshini ni nidhamu tu. Kwa officers kuna vyeo unapanda kwa kupiga course na vingine unapandishwa kutokana na nidhamu yako tu na weledi kazini.Ukikuta kanali alafu komando na kama age nzuri anafika mbali na hasa kama hana makando kando kiutendaji [emoji16][emoji16][emoji16]
Hizo mnapangiwa mama. Ikitokea nitaenda tu.Kaziiii
Jitupe mission tu sasa. Uwe unafanya kazi ya kuhama Leo Lebanon, kesho Afrika ya Kati, mtondogoo upo Kongo.
Hahaaa nilikuwa sijaelewa kumbe bebe mjeshi? Yuko TMA kabisa ama?Monduli nafataga la yuyu. Tulia brazaa [emoji1787]
Hahaa huku Mabio kama kunywa majiMabio siyawezi. Muulize Karma mziki wa mabio
Eeh bwana Hao ndiyo watoto wa masenior wetuwatoto wa wajeda [emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Pesa ndio mpango mzima mkuuYaaan kuna mambo huko nako, anyways I do blv in God's plan, kilichopangwa ndicho kitatokea.
Bakabaka lina mzuka. Afu si mmekariri kwamba raia mteru mwingi wakiona kivazi 🤣🤣
Joto la Kyela Kama Dar tuHuku bado kidogo tutageuka mishikakiView attachment 1969260
Mimi nashangaa unatoka rungwe umevaa koti ukishuka kuja kyela tu unakutana na moto dar ikasomeKyela ni wilaya ya ajabu sana Mbeya..ikaamua kujibebea joto.
Usiombe uwe kijijini ambako hakuna umeme na viyoyozi aissee mimi huwa naugua kila nikienda.
Nimekumbuka TPDF tulikuwaga tunaimbakumbe ww push- up kwenye godoro [emoji23][emoji1787]
Aahh kwa sasa hivi polisi wanavyodharaulika mtu anaona afadhali avae karanga hata miaka sita akisubiri kupelekwa TPDF kuliko kuwa polisiWaacheni wenzenu [emoji1787][emoji1787] nyie si mlichelewa kukatwa bogi? Mkaona kuhudumia u service ni bora kuliko kwenda kuvaa kaki