Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Sahihi Makete,Mufindi huko ni kisanga
 
Bado tu hujabadili mawazo?MUNGU anakuona.
Nitakushawishi tu ukubali kupiga trip za kusini,,uone mandhari na uumbaji wa MUNGU.
Tatizo wameshaambizana kusini hakuna wanawake wazuri wengi weusi na wana sura za baba. Ili umshawishi muambie kwamba watoto wa kinyakyusa na wa kindali ni wazuri. [emoji3][emoji3]

Huko kaskazini wanakoenda sana si huwa wanaambizana kuwa watoto wa kichaga, wa kipare, wa kinyaturu na wa kimbulu nk ni wazuri na weupe. Ndiyo maana wamekomaa huko. [emoji2][emoji2]
 
Aisee...mimi ni uvivu tu... Mbeya kipande kirefu
 
Kumbe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Nimejua sababu.
Hawatutaki weusi wenye sura za baba zetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Lakini inabidi tuwape moyo,,,mishepu ya kutosha(siyo flat kama kule),,,na hatuna spoko kama huko kaskazini(kidding)
 
daaah! siasa chafu hizi 😀😀😀😀 hatuna maana hiyo ya kuto kwenda kusini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…