Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Na mimi pia
Haha aiseee kama mnazungumzia hii misimamo yangu basi haihusiani kabisa na kazi! Mbona kuna wenzangu kibao tu wameolewa wana familia na ndoa zao ziko vizuri tu!

Na kuna wengine wala siyo wanajeshi wana kazi za kawaida tu tena hawako busy wala nini ila hawataki kabisa kusikia habari za kuolewa! So ni maamuzi tu wala hayahusiani na kazi!
 
Haha kuna wengine hawaangaliagi shepu! Mradi mwanamke ni mweupe tu basi inatosha!
 
Umeendana na ujeda
 
Hahahahha niliuliza humu juzi hawa jamaa wanapenda IST na vits chakavu utakuta namba C zile au B vyenye miziki ya makelele ndani [emoji23] sasa unajiuliza ni kwamba hamna ruzuku walau waendeshe hata vifaru tu?
Hili la vits chakavu ni kweli mwaka Jana December kuna bakabaka mmoja alinipa lift toka pale chalinze hadi msamvu na vits yake chakavu namba c[emoji1787][emoji1787]
 
Hahahahaha kama ni officer was rank za juu sio ishu kuanzia major hivi

Ila hawa wa down ni vitz,ist,spacio ,verosa,akisogea sana crown
 
Jeiwii

Uhamiaji

Tanapa

Kuna afadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…