Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kwani hata uraiani ni raia wangapi wanakunja hizo M50 kwa mwezi? Kama siyo wale wafanyabiashara wakubwa wenye biashara zinazoeleweka au wale viongozi na managers ama directors wapigaji?

By the way kwa jeshini lieutenant general anaweza kuwa anakunja hiyo maana wale general/flag officers ni level nyingine! Ila lieutenant colonel, second lieutenant, first lieutenant hakuna anayekunja hiyo!
Hivi ni kweli mmejitoa kwenye kundi la raia!
 
Back
Top Bottom