Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Labda mwenzio anamaanisha kukunja kuanzia M50 kwa mwezi, tukizungumzia hapo hakuna LT wa M50 per month. [emoji1787]
Kwani hata uraiani ni raia wangapi wanakunja hizo M50 kwa mwezi? Kama siyo wale wafanyabiashara wakubwa wenye biashara zinazoeleweka au wale viongozi na managers ama directors wapigaji?

By the way kwa jeshini lieutenant general anaweza kuwa anakunja hiyo maana wale general/flag officers ni level nyingine! Ila lieutenant colonel, second lieutenant, first lieutenant hakuna anayekunja hiyo!
 
Maisha ni kujiongeza mkuu wangu, maisha ya mshahara hata uwe Kanali au Jenerali wa nyota moja au mbili, usipo cheza vizuri utashangaa mwenyewe
Hakika mkuu, Kupata mshahara mkubwa ni jambo moja na kujiongeza ni jambo jingine.

Hao wakubwa wanaofilisika na kutia huruma ni kwamba tu hawajiongezi lakini kusema kwamba wanapata hela ndogo ni uongo! Si nilikuambia kuna yule jamaa sergeant ila ana maisha mazuri na hana njaa wakati kuna captains wana njaa na maisha ni ya kubangaiza sasa utasema kwamba sergeant (V3) analipwa zaidi kuliko captain ([emoji294]3)?
 
Hakika mkuu, Kupata mshahara mkubwa ni jambo moja na kujiongeza ni jambo jingine.

Hao wakubwa wanaofilisika na kutia huruma ni kwamba tu hawajiongezi lakini kusema kwamba wanapata hela ndogo ni uongo! Si nilikuambia kuna yule jamaa sergeant ila ana maisha mazuri na hana njaa wakati kuna captains wana njaa na maisha ni ya kubangaiza sasa utasema kwamba sergeant (V3) analipwa zaidi kuliko captain ([emoji294]3)?
Mshahara mkubwa kwako unaanzia shilingi ngapi ?
 
Verse 2:
We unaita Volkswagen mi naita Vimba wewe,
Ukipanda funga mkanda afu anza kuringa wewe,
Speed ya mwewe na inafika hapo mbele tu,
So iconic Dar nzima iko yenyewe tu,

Siyo ya mkopo siyo ya baba ni ya kwangu,
Acha waseme nna nyodo bro nimeipata kwa taabu,
Masnicth wanatia adabu wakiona naingia club,
Jinsi imetulia parking basi inavutia ajabu,

Bei ya rims tu nanunua vitz,
Sa nkikupa bei ya mziki utaniona chizi,
Polisi akisimamisha anaomba hadi kupiga picha,
Piga picha baba uende ukavimbe insta,

Gauge haishuki, vioo juu,
Hamna kupanda mamluki ni watu poa poa tu,
Uswazi hunikuti, staki roho juu,
Wasije kukwangua rangi hawajui bei juu.

Chorus:
Ukiona gari kali hujawahi kuiona basi ujue hii ndo gari yangu,
Yenye mziki mkali ikipita utaguna bass lake hii ndo gari yangu,
Nasema owe ah ah gari yangu,
Owe ah ah gari yangu×3.
Huu wimbo umebeba staili zake nikajua ni wake kumbe kashirikishwa.
 
Back
Top Bottom