desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
Hamna shift ni kila siku mshahara inategemea mliongeaje na tajiriWakuu kwa anayejua hivi wale makonda wa mabasi ya mikoani huwa wanalipwa sh ngapi na je malipo yao hutegemeana na umbali au nini? Na huwa wanasafiri kila siku au kwa shifts?