MACHO YA PAKA
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 205
- 475
Duh vitz inapiga kazi ivyo hongera sana utafika upo hoi
Ninaimbeleza hivi hivi ikikuwa itakuwa Tiguan [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh vitz inapiga kazi ivyo hongera sana utafika upo hoi
Karibu kakaDua zenu wakuu naelekea Dodoma
View attachment 1999562
Tumeutambua na kuukubali uwakikishi wako ktk kijiwe pendwaRepresent...
View attachment 1999869
Shukrani kwa molaArrived safely
Utakuwa umeshamaliza mbioUnaweza kunikuta
Ongeza kuwa ni kipindi cha bunge na wanachuo ndo wamekwenda kuliport na bado watamu maana pesa wanazoIjumaa pale na jumamosi na + NBC Marathon lazima patapike na ka sehemu kadogo kale
Ukiona hivyo ujue umri umesogea😁😁😁maana vijana wa chuo ndo huwa wanapenda kuwe na shazi kihivyoSehemu inayojaa hivyo siiwezi
Mfumo wa Stakabadhi ghalaniUnaipata kwa mkataba maalum wa malipo kidogo kidogo
Weekend mmefaidi Sana Mimi nipo mjini naangalia samaki kwenye aquarium tu.sema mapapa yaliokomaa ni matamu sana au sio Offshore Seamen
He he he he he na ulikuwa unaburuza matako chini na sedan mkuu. Najua roho iliuma sana. Pole mkuuHoly Man ISO M.CodD wakuu lile tuta mlilonionya halina alama nimelipiga Jana nikiwa 100+kph [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] nimelishtukia nikiwa na kama 140kph hivi.
Njia hii iko hovyo sana kabla ya Gairo ukitoka Gairo ndio imetulia sana halafu unakuana na tuta bila warning
😂😂😂😂😂😂😂😂 we jamaa ni andazi nimecheka sanaMfumo wa Stakabadhi ghalani
Umetimiza azma ya wadau😅 vipi sample hujapasua tena? Maana kwa hio speed lazma gari ilitoa kavumbi flani ka mafichoni😂Holy Man ISO M.CodD wakuu lile tuta mlilonionya halina alama nimelipiga Jana nikiwa 100+kph 😂😂😂😂🙌🙌 nimelishtukia nikiwa na kama 140kph hivi.
Njia hii iko hovyo sana kabla ya Gairo ukitoka Gairo ndio imetulia sana halafu unakuana na tuta bila warning
Kuna boda boda chizi ningemgeuza bucha jana! Eti anageuza chombo 360 katikati ya barabara halafu highway ya mandela road ni hatariDuuh wakuu nimesikia kuna ajali imetokea jioni hii maeneo ya Buigiri basi la Tashriff lililokuwa linatoka Tanga kuelekea Dodoma limegonga bodaboda na kumuua hapo hapo na dereva kakimbia! Eti dereva wa basi alikuwa anajaribu kuyapita magari yaliyokuwa yamesimamishwa sababu ya msafara ndiyo akamvaa huyo bodaboda aliyekuwa anavuka ng'ambo kuelekea kwake!
Diesel ni mitambo na malori tu! Gari za bata ni za Mkojo wa mwarabu😀Zina raha hapa kwetu tu, nchi za wenzetu huko vijana hawataku at kuzisikia.
Ukisema tu diesel, anaziba pua kana kwamba kasikia kijambo kikali! [emoji23]
Hahahaha huyo jamaa hapo nae anaweza kujiita mshua wa familia kweli anatembelea Toy Car?Zimepatikana za laki 2 Saint Anne 😀
Tusingizie nini tena? Au tuna allergy na petrol ?
View attachment 2000776
Duh kwamba umemuua [emoji2297][emoji2297]Kuna boda boda chizi ningemgeuza bucha jana! Eti anageuza chombo 360 katikati ya barabara halafu highway ya mandela road ni hatari
Ilikuwa manusura nimfyeke yani😄Duh kwamba umemuua [emoji2297][emoji2297]
Anha basi eti nilisoma "nimemgeuza bucha" badala ya "ningemgeuza bucha" ndo naona saa hizi baada ya kusoma mara mbili mbili! Nikataka kusema umeanza lini kuwa na roho ngumu?Ilikuwa manusura nimfyeke yani[emoji1]
Hahahahahah yani, jana ulikuwa wapi mrembo?Anha basi eti nilisoma "nimemgeuza bucha" badala ya "ningemgeuza bucha" ndo naona saa hizi baada ya kusoma mara mbili mbili! Nikataka kusema umeanza lini kuwa na roho ngumu?