Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

He he he he he na ulikuwa unaburuza matako chini na sedan mkuu. Najua roho iliuma sana. Pole mkuu
 
Umetimiza azma ya wadau😅 vipi sample hujapasua tena? Maana kwa hio speed lazma gari ilitoa kavumbi flani ka mafichoni😂
 
Kuna boda boda chizi ningemgeuza bucha jana! Eti anageuza chombo 360 katikati ya barabara halafu highway ya mandela road ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…