Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mkuu achana na mzinga. Kuna vijana wawili wamepoteza maisha juzi na Prado 150, imechakazwa vibaya na truck. Hadi kusafiri naanza kuogopa
Usiogope mkuu bila shaka ni hawa hapa!
E6BAA31A-A089-4436-92FA-D5A3470DEF61.jpeg

Sikujua nini kimewapata ila dah noma! Kumbe ni Truck iliwamenya RIP bros!
 
Back
Top Bottom