Wazee wenye mawe ndio wanamiliki Jaguars๐ sio wazee tu!Brand matters, Jag wanapata shida sana kushawishi vijana wanunue. Hata hizi zilizowekwa hapa wamejitajidi kuachana na conservative design zao kuvutia vijana lakini bado. Anyway wapo vijana wananunua pia.
Kwa watoto wa kishua nyie hio hela ya mboga ya mwezi mmoja tu!hii gari hii uwe mkononi una 95mill.. ndio utaingiza kwa amani humu nchini.. na 95mill sio pesa ndogo ๐๐๐
For sure. Hata mimi nikipata mabovu ya kutosha, RS6 C7 ndiyo mpango mzima. Nikishindwa basi hata hiyo Jag V8.Brand matters, Jag wanapata shida sana kushawishi vijana wanunue. Hata hizi zilizowekwa hapa wamejitajidi kuachana na conservative design zao kuvutia vijana lakini bado. Anyway wapo vijana wananunua pia.
Nishawafikisha ndugu zangu na gari yao DWW nimeitoa mafua, nimepanda Coaster Niko njiani narudi sasa. Kesho nina kazi Dar. Nitapanda huku tena na Fuga on 23rd.Acha uhuni mkuu! Unaenda na kurudi?!!
Umefanya la maana, maanake sio kila mtu anaweza kuendesha long trip. Miezi hii ajali nyingi kwasababu kila alenunua gari anataka aendel nalo kijijini kwaoNishawafikisha ndugu zangu na gari yao DWW nimeitoa mafua, nimepanda Coaster Niko njiani narudi sasa. Kesho nina kazi Dar. Nitapanda huku tena na Fuga on 23rd.
Road trip na ziendelee wakuu.
View attachment 2041330View attachment 2041331
Hizi mambo zina wenyewe, na wenyewe ndio sisi.Umefanya la maana, maanake sio kila mtu anaweza kuendesha long trip. Miezi hii ajali nyingi kwasababu kila alenunua gari anataka aendel nalo kijijini kwao
Rpm 6000?!! Utajua hio ๐๐๐Hizi mambo zina wenyewe, na wenyewe ndio sisi.
Yani nimekifinya kile ki 4cylinder 2360cc kinalalamika lakini wapi mi nakibinya tu [emoji1787][emoji1787]
Leo ndio nimejua just how much more powerful the 3.5L is, watu wanavyosua sua kuovertake sio kosa lao, torque hairuhusu.
Kwakweli kisahani hapana kwa hii gari
View attachment 2041340
3.5L kwenye body ya sedan habari ingine mkuu. 2GR hio si mchezo. Mimi na 4GR tu kufuta kisahani ni sekunde kadhaa tuHizi mambo zina wenyewe, na wenyewe ndio sisi.
Yani nimekifinya kile ki 4cylinder 2360cc kinalalamika lakini wapi mi nakibinya tu [emoji1787][emoji1787]
Leo ndio nimejua just how much more powerful the 3.5L is, watu wanavyosua sua kuovertake sio kosa lao, torque hairuhusu.
Kwakweli kisahani hapana kwa hii gari
View attachment 2041340
Jamaa anaishiWewe jamaa bana!
Haitakaa ifikie tena hizo RPM wala hyo spidi maishani kwake hapa nchini maana ni ya mstaafu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Rpm 6000?!! Utajua hio [emoji23][emoji23][emoji23]
Juzi nilikuwa najaza full tank, pump attendant akashangaa wese la 170k kuingia kwenye gari ndogo, hata Harrier hazipokei that much.3.5L kwenye body ya sedan habari ingine mkuu. 2GR hio si mchezo. Mimi na 4GR tu kufuta kisahani ni sekunde kadhaa tu
sio mboga, ya utelezi tu hiyoK
Kwa watoto wa kishua nyie hio hela ya mboga ya mwezi mmoja tu!
๐๐๐ nyumbani penyewe sina, naishi popote.. kujenga na kukaa kwenye nyumba ni uogaWewe utakuwa na show room nyumbani usipoangalia
mtoto kapasua nini, zamani mfukoni asee ๐๐Poa
poa mkuu
ngoma ngumu hii๐mtoto kapasua nini, zamani mfukoni asee ๐๐
Unahitaji maombi. Saint Anne msaada wako unahitajika๐๐๐ nyumbani penyewe sina, naishi popote.. kujenga na kukaa kwenye nyumba ni uoga
๐๐๐ mie mwenye maombi tosha, ushawai kuona wapi maombi yanaombewaUnahitaji maombi. Saint Anne msaada wako unahitajika
๐๐ Uzuri angepasua bado una mfariji na kummbembeleza na mfukoni unazamaDuh juzi wangu kakosakosa taa, kabonyeza bumper!
Hio 3.5 bado sio powerful kwako? Ushaizoea hata ukipata 5.0 utaizoea!Juzi nilikuwa najaza full tank, pump attendant akashangaa wese la 170k kuingia kwenye gari ndogo, hata Harrier hazipokei that much.
Nikamwambia we iite tu gari ndogo, subiri siku ukutane nalo in action [emoji1787][emoji1787]
Hizi sedans ni overpowered kwakweli.
Japo wana msemo, "If your car doesn't scare you a little, it is not powerful enough "