Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Ukiwa kwenye hizo SUV unawakazia hizo honi kwetu ni kama beat la mziki. Hakuna basi itayokupa body yeye mwenyewe anaogopa kukwangua gari.Ha ha ha ha mna roho ngumu sana aisee. Yaani bodi ya gari na tako[emoji23][emoji23]
Ngao haijakatazwa, hizo bei inategemea na gari au wapi utanunua, pia mitaani mafundi welding wanazichonga vizuri.Hahahaha hivi hizi ngap si walishakataza mkuu? Maana enzi hizo magari wanaweka ngao mtu anakuletea yote na huna pa kutokea. Ofcourse wako mnaiwakazia kama.nyie. mimi hata siwezi
Used unapata hata ya kuanzia 600ccNikiwa na milion 7 napata pikipiki ya kutembea km 800 non stop?? Used or mpya
Hvi hzi pikipiki za cruisers kma david herleyson zinafaaga masafa marefu???Used unapata hata ya kuanzia 600cc
Ndio, maana zina injini kubwa na zina mfumo wa kupooza injini Kwa rejeta.Hvi hzi pikipiki za cruisers kma david herleyson zinafaaga masafa marefu???
Nazielewa sanaaaa zomekaa kibabe sanaaaaNdio, maana zina injini kubwa na zina mfumo wa kupooza injini Kwa rejeta.
Hizo bike muulize Pascal Mayalla ndio katumia Sana.
Hapo umekosa Milo..Aaahahahahahahahaaaaa weeeeuweeeeeeeeeee
Utafanya watu wakifika njia panda Mombo wakate kulia kuchungulia Bataringaya na Kasie kunani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1650677
Nimejikoki hatariii [emoji12][emoji12]
Sipotezi pointi hata moja ahahahahahaa
View attachment 1650676
Vitendea kazi vyote vipo kamili na kuzidi, kazi kwako...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
K’ Matata.
Hongera mkuu tuchape kazi sasa tusubiri trip inayofuataMrejesho...
Kimeo hakikuniangusha...[emoji120]
Na Jana nimerudi Arusha.kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa taifa..
Changamoto pekee Ni Tsh.20,000 ya kiwi baada ya kusimamishwa mara 3 wakati wa kurudi..
"Be Humble"
Hii ndio ilimfanya kitu mbaya?!Ndio, maana zina injini kubwa na zina mfumo wa kupooza injini Kwa rejeta.
Hizo bike muulize Pascal Mayalla ndio katumia Sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poooleee mkuu. Pole sana.Asante sana....nilisalimika ila rim ya gari ilipinda...Ingekuwa ni alloy wheel, nadhani ingevunjika kabisa..
shukraniKilimanjaro
umetumia siku za karibuni? vp kuhusu huduma zao mkuuKilimanjaro
Hahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....Nadhani ungemuambia kuwa mkifika Korogwe mnakula wote lunch, lazima angekukumbuka...
Yaani safari Arusha Dar hiki kipande cha Arusha mpaka Himo sikipendi kabisa..
Kipandw kingine nisichokipenda ni Bagamoyo mpaka Uinge Dar au Chalinze mapaka Ufike Dar....
Hivi vipande nikivikumbuka vinaniondolea mzuka wa safari kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kitawaka kweli. Tutakiwashaaa mkuu
Mkuu utatuweza?[emoji23][emoji23][emoji23] kama ukawa mkorofi hv na sisi ndo hivi huo mtaa siku tukiamua si tutaufunga jamanWaambie niwaoe kma hawana wanaume aisee napenda wanawake wa hv
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe.. sina mtoto badoTunakaa mbele pale Tunamuwasha dereva akiitika mtatuokota sekenke
Huo muda ungeanzia bagamoyo ungeshapita hata korogwe.Kuna siku nilitoka maeneo ya mwenge saa 10 jioni, Bagamoyo nilifika saa mbili usiku!