Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Ndio maana nimeacha kusafiri usiku. Hatari sana
Bwanaa weee, maisha matamu kila kinacho hatarisha maisha ni vyema kukaa nacho pembeni, usiku hatari sana kwanza hu injoy safari.. sasa hivi policy yangu mpya nikiwa na route ndefu mwisho masaa nane kuendesha hayazidi hapo na ni. mchana, kuna mambo mengi sana tunatakiwa kuyafanya
 
Kweli kabisa, masaa nane yanatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…