Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Ndio maana nimeacha kusafiri usiku. Hatari sana
Hivi kuanza safari saa 10 alfajiri ambapo bado pana giza, napo ni kusafiri usiku?
Hii imekuwa tabia yangu sijui nzuri sijui mbaya....🤷♀️
Popote ntapoelekea saa 12 nakuwa chalinze