Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119][emoji28][emoji28]....Mwanao ana mwandiko mzuri huo alipandika kwa herufi ndogo na heading ya Reading.
Hapo sijui inabidi umnunulie ubao mkubwa kama wa shule maana anaonekana anataka kuandika kama mwalimu anavyofanya shuleni....
Water dispenser imekipata cha moto, na hayo majina mengine yamejirudia kama aliyoandika kwenye gari, nahisi hao watakuwa rafiki zake.
Endelea kumuelewesha kadri anavyokua.
..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119][emoji28][emoji28]....
Hayo majina mengi ni ya rafiki zake...
Inaudhi lakini kimoyo moyo ninafurahia anavyopambana kuandika..[emoji119][emoji119]
Sina namna, inabidi ninunue ubao mkubwa zaidi
"Usimnyime mapigo mwanao........" Huo mstari ulikuwa unatumika kuwaadhibu watoto flani..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119][emoji28][emoji28]....
Hayo majina mengi ni ya rafiki zake...
Inaudhi lakini kimoyo moyo ninafurahia anavyopambana kuandika..[emoji119][emoji119]
Sina namna, inabidi ninunue ubao mkubwa zaidi
Extrovert Mshana Jr RRONDOWazee wa Road Trip naombeni ushauri kidogo... Kuna gari Honda CR-V second generation (2002) nataka kuichukua, ila kabla sijaichukua nimekuja hapa kupata muongozo kwenu wadau.
Wasifu wa hii gari ni manual transmission yenye real time 4WD, gari ni left hand drive, mmiliki ni muhindi anakaa upanga hapo, aliinunua ikiwa zero mileage plate number ni CK, Hadi Sasa inasoma 130,000 mileage.
Kwa wasifu huu mfupi mnanishaurije wadau? Kwenye swala la upatikanaji wa spare na mengineyo muhimu. CC RRONDO Bavaria Kijana wa hovyo hovyo Offshore Seamen na wengine wenye uzoefu na hii gari..
Natanguliza shukran.
Wazee wa picha :
View attachment 2065999View attachment 2066000View attachment 2066001View attachment 2066002
Asante mkuu, huyo mzee wa toyota extrovert nilimsahau, na mzee wa kilinge pia...
Nipo comfortable Sanaa mkuu, coz Nina pickup nenye left pia.Premij canoon upo comfortable na left hand kwanza ?
Bei 8M kakaNahisi spear sio kipengele dunia ya sasa. Sema nayo imetembea sana, labda kama bei ni mteremko.
[emoji28][emoji28][emoji28]. ...huwa tunafanya hivyo kwenye daftari zake...Yeah saa ingine uwe unamuita umawambia andika halafu mnasoma wote kama mko darasani atakuwa kila akitaka kuandika anaenda kwenye ubao mkubwa.
Pia msifie mwandiko wake mzuri....
Atapenda kuwa muandishi.
Ni kweli Mkuu"Usimnyime mapigo mwanao........" Huo mstari ulikuwa unatumika kuwaadhibu watoto flani
[emoji28][emoji28][emoji28]. ...huwa tunafanya hivyo kwenye daftari zake...
Lakini jana kaona gari na ukuta ndiyo vitamu zaidi..[emoji119][emoji119][emoji119]