Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Ati walikuchota? 🤣🤣🤣 kaneno 'kuchotwa ' kamenichekesha
 
Ni gari ndio ilichota mtama wa hatari, ikapiga u-turn katikati ya barabara nikiwa kama 120-130 kph. Kuna kushtuka nipo porini kama mita 15 kutoka barabarani na siamini kama.nipo salama
Mungu ni mwema.

Jana mitaa flani nyuma ya Kisongo kuna gari ilitoka kabisa barabarani mpaka majanini huko likely ni kama ilipaa ' sijui yule dere alikuwa anasinzia ndio akaipelekea mwenyewe... Sikuelewa kale ka situation ka ile ajali
 
Mungu ni mwema.

Jana mitaa flani nyuma ya Kisongo kuna gari ilitoka kabisa barabarani mpaka majanini huko likely ni kama ilipaa ' sijui yule dere alikuwa anasinzia ndio akaipelekea mwenyewe... Sikuelewa kale ka situation ka ile ajali
Aah, acha tu, kuna situation za ajali unaweza jiuliza imetokeaje lkn usipate majibu. Kama hiyo iliyonikuta huwa sielewi nini kilisababisha hadi leo hii. Mashuhuda waliniambia gari yangu ilipaa, Since that day naendesha bila mashindano barabarani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…