Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
[emoji28][emoji28][emoji28]kwa kweli huwa najitahidi kiasi fulani...Hongera sidhani kama nishamaliza mwaka bila mikeka miwili mitatu, na hapo za kubrush viatu zinakuwepo sana tu.
Kama juzi hapo Makanya - Same watu walinunua kiwi mpya.