Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Tunatafuta hela mama....tunakuahidi..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]..
 
Mpaka hela ya fine unaweka standby[emoji23]
 
Ila Karma you seem to be so wise aisee.
Nakufatiliaga humu ndani naona unavo-respond na replies, ni dhahiri navutiwa sana. Mungu akubariki!
 
Hayo ni makosa ya kiufundi,atakuwa hakusikia vizuri...
Mwingine anasikia lakini anakosea pale kwenye kuandika.
Hapo hakuna namna ni aidha umuonee huruma ulipe au alipe yeye au mafuta yachujwe kwenye gari ambayo ni usumbufu sana kwa mteja.
Do
Kule south zile Golf polo zinaibwa sana..kuna jamaa wamekuja na hii kitu..vipi maoni yenuView attachment 2073690
Wezi watakuja na master key
 
Utatuua 🥲🥲[emoji847][emoji848][emoji36][emoji31][emoji847]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…