Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
[emoji28][emoji28][emoji28]kwa kweli huwa najitahidi kiasi fulani...Hongera sidhani kama nishamaliza mwaka bila mikeka miwili mitatu, na hapo za kubrush viatu zinakuwepo sana tu.
Kama juzi hapo Makanya - Same watu walinunua kiwi mpya.
Aisee.....[emoji119][emoji119][emoji38][emoji38]Upo vizuri bob.
Mwaka huu pekee mpaka sasa nina vyeti vitatu.
Tunatafuta hela mama....tunakuahidi..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]..Sasa yule mteja alitoa elfu 10 ,kumbe ametamka awekewe ya elfu 5 wakati pump attendant ashaondoka kwenda kufungua gari....si akawekewa yote ya elfu 10!Alooo hapakutosha pale sheli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].,akaanza kudai elfu 5 yake huku akitoa matusi yote.
Wanaume tafuteni hela jamani.
Mpaka hela ya fine unaweka standby[emoji23]Ukifika petrol station kama hujazi full tank, mpe hela yake kabisa. Yeye ndo atajua unataka ya 30 na hawezi weka 50.
Hii ya kuongea sio effective kabisa.
Nikiwa natoka, hela ya matumizi ya gari haikai kwenye wallet, naiweka kwenye center console. Iwe ya mafuta, fine, parking, kuosha n.k.
Nikifika petrol station, nachomoa fungu lake nampa, kama ya 100k, nampa 100k yake. Ikiwa full namwambia jaza mpaka juu, huku namuhesabia fungu lake.
Hii ya kuongea naonaga risk sana.
Ila Karma you seem to be so wise aisee.Duuh usiniambie ulifikiri pale kijiweni Morogoro nilienda kula bata. Nilisimama kula tu nilikuwa nakuja Dodoma.
Zote hizo ni safari za kikazi mama wala siyo binafsi. Ingekuwa binafsi na ningekuwa sina haraka mbona ningepita tu.
Hehe si ndiyo nakushangaa unavyotusimanga sisi wateja wa buku tano na kumi. Kumbe unaujua umuhimu wetu.
Kumbe mjini hapa? Itaje jina kabisa, wateja humu wapo wa kutosha.Ipo njia ya mbezi kinyerezi ,,ukitoka mbezi ukipita Total,inayofuata
Karibu sana [emoji847]
Naweka 5k za kutosha hizo za fines tu, nampa ya kubrashia viatu, akidengua namwambia andika tu.Mpaka hela ya fine unaweka standby[emoji23]
Yupo vizuri sana.Ila Karma you seem to be so wise aisee.
Nakufatiliaga humu ndani naona unavo-respond na replies, ni dhahiri navutiwa sana. Mungu akubariki!
DoHayo ni makosa ya kiufundi,atakuwa hakusikia vizuri...
Mwingine anasikia lakini anakosea pale kwenye kuandika.
Hapo hakuna namna ni aidha umuonee huruma ulipe au alipe yeye au mafuta yachujwe kwenye gari ambayo ni usumbufu sana kwa mteja.
Wezi watakuja na master keyKule south zile Golf polo zinaibwa sana..kuna jamaa wamekuja na hii kitu..vipi maoni yenuView attachment 2073690
Utatuua 🥲🥲[emoji847][emoji848][emoji36][emoji31][emoji847]Sasa yule mteja alitoa elfu 10 ,kumbe ametamka awekewe ya elfu 5 wakati pump attendant ashaondoka kwenda kufungua gari....si akawekewa yote ya elfu 10!Alooo hapakutosha pale sheli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].,akaanza kudai elfu 5 yake huku akitoa matusi yote.
Wanaume tafuteni hela jamani.
Karibu mkuuKumbe mjini hapa? Itaje jina kabisa, wateja humu wapo wa kutosha.
Japo hiyo njia sipitagi sana ila ntakatisha siku 1 kukuunga tank full.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunatafuta hela mama....tunakuahida..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]..
Hivi kwa mfano ukapigishwa fine na hauna hela,inakuwaje?Naweka 5k za kutosha hizo za fines tu, nampa ya kubrashia viatu, akidengua namwambia andika tu.
Yeye alitaka kutuuwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utatuua 🥲🥲[emoji847][emoji848][emoji36][emoji31][emoji847]
Kisa 5k? Alikuwa na mambo yakeYeye alitaka kutuuwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ungemuona alivyokuwa anatukana acha tu.Kisa 5k? Alikuwa na mambo yake
Tulikuwa wadogo sana tu.Hamjui tumetoka wapi kabla ya kuja kujaza mafuta,kuweni wapole