Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hahah!
Sema huwa mnajua kujiongeza..mtu anakuja kuweka ya bei ndogo halafu anaomba risiti ya bei kubwa aende nayo kumpiga mtu cha juu.
Wa hivi hawanaga shida,akija ni stori mnacheka kwa kwenda mbele,huku mkimtafutia risiti ya hela kubwa kwenye kapu la taka.
Kwanini mtu anaacha risiti, hasa kubwa kubwa sheli? Watu hawapigi hesabu?
 
Pantoni hili hili na mateso yake yote?

Jana jioni nimetoka kugeuza pale chuo cha ustawi maana foleni ya pantoni ilifika kule, nikageuka mpaka darajani na nikafika muda sawa na aliyevuka kwa miguu

Mwezi uliopita nilispend 2 hours kuvuka pale na pantoni

Labda wewe unaliotea mida yake unavuka shwaap, ila mimi kwangu limelaanika lile dude
Linahitaji timing. Ziko tatu kama zote zinafanya kazi hata ukiwa hapo Utumishi wa umma unavuka haraka sana. ILA ukute moja wamelipumzisha halafu kuna meli zinapita utajua kuwa Kigamboni ni Zanzibar
 
Linahitaji timing. Ziko tatu kama zote zinafanya kazi hata ukiwa hapo Utumishi wa umma unavuka haraka sana. ILA ukute moja wamelipumzisha halafu kuna meli zinapita utajua kuwa Kigamboni ni Zanzibar
Timing tuwaachie wazoefu. Acha nivukie darajani tu. Muda sio mrefu jamaa wa nyuma yangu kapigwa tochi pale darajani [emoji1787][emoji1787] wako pande zote mbili ukishavuka
 
Back
Top Bottom